Hatma ya CCM hata Shetani haijui na anawashangaa CCM maana wanavyotafutana hata shetani hua hafanyi hivyo kwa binadamu! Malaika hawaitaki CCM na Shetani na Majini wameichoka CCM, Mbingu haiwafai na wala Jehanam haiwatoshi, Dunia haiwataki....maskini weeweeee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.