Ni nini faida za kupiga Chabo

Ni nini faida ya kupiga chabo ? Kusingekuwepo na watu wanaopiga chabo kama kusingekuwa na faida ,lazima kutakuwa na faida ,jamani msiwe wachoyo hebu tuelezeeni ,inasemwa kuwa wazaramo na wandengereko ni nambari one kwa chabo !
Bw. Mwiba hebu tueleze kidogo kwani wewe vipi. Jee? ni Mzaramo, Mndengereko, Mmatumbi,Mpemba, Mshirazi,Mzanzibara, au M-zanzibari? Kumradh kama itakuwa nime-kuzonga.
 
Mwiba,
kupiga chabo ni ugonjwa wa kisaikolojia kama magonjwa mengine. uko kwenye fungu la sexual daiversions. wapiga chabo wakubwa hawawezi mpaka waanzie kwenye chabo, hufikia mpaka kulipia pesa gesti za uswahilini na kupata chabo. inapobidi, basi hata kumchungulia tuu mkewe anapovua kwenda kuoga.

wapiga chabo wakuu ni wazanzibari. hujulikana kwa jina maarufu la makozi men.
Kwa sasa niko hapa Pretoria, kenye mtaa maarufu wa Proterius Street, kuna la mambo ya kukubwa. ukiwa huko dukani unalipia rand 10,unaingia kwenye show inaitwa 'peeping tom'. Ni kijichumba cha giza, unachungulia kwenye viundu kama vya ufunguo, upande a pili, utaona watu live, wanafanya mambo.
Tatizo, hiyo rand 10 unayolipia ni show ya dakika 2. kufunga kufungua dakika mbili zimeisha huku gemu ndio kwanza linakolea, unajikuta unaongeza dakika mbili tena ili uone mpaka mwisho wa mchezo, nayo itaisha gemu halijaisha, ndipo nikashtukia hiyo ndiyo deal yenyewe, gemuhaliishi, unabaki kushangaa. nashukuru sio mgonjwa vinginevyo ningefilisika.
Nakumbuka ujana mitaa ya ilala, unachukua demu na kuwaambia washikaji waje kupiga chabo ili kuwaonyesha ulivyo bingwa.Kwa vile unajua unaangaliwa, basi ndio unafanya kwa masifa. nadhani hata uchafu wa kutaka tigo unaanzia kwenye kuiga na kujifanya shujaa.
hata wale waangaliaji sana wa porno, pia wanamatatizo bila kujijua. cha muhimu baada ya kujua ni tatizo njia ni kujiepusha.

Sidhani kama ni ugonjwa maana akina mama wanafurahia sana kuwaangalia wapenzi wao wakishughulika wanadai ni moja ya "turn on" kubwa sana kwao.
 
Hee, makubwa haya na madogo yanaafadhali...siwajirekodi tuu kama wanataka kujiona jamani. Shida yote hio ya nini sasa.
 
Jamaa alikuwa na demu na kuna rafiki yake alikuwa anawapiga chabo dirishani yule jamaa akajisahau akaingiza kichwa chote mapaka yule demu akamuona akamwambia hebu nenda kamwambie yule rafiki yako atoke dirishani
 
Jamaa alikuwa na demu na kuna rafiki yake alikuwa anawapiga chabo dirishani yule jamaa akajisahau akaingiza kichwa chote mapaka yule demu akamuona akamwambia hebu nenda kamwambie yule rafiki yako atoke dirishani

Jamaa alikuwa anapiga chabo....wakati akiendelea kuangalia...aliyekuwa akiangaliwa(Mshughulikaji) akamuona jamaaa....akafanya kama anakwenda toilet...akatoka nje kumcheck jamaa akamgusa mgongoni...jamaa wala hakustuka akasema subiri jamaa ndio kaenda ******...(akifikiri koziman mwenzie)
 
Sidhani kama ni ugonjwa maana akina mama wanafurahia sana kuwaangalia wapenzi wao wakishughulika wanadai ni moja ya "turn on" kubwa sana kwao.

Hiyo taarifa kuwa ni ugonjwa siyo yangu, ni kwa mujibu wa Dr. Alfred Kinsey na Dr. Eustace Chasser. Ni ugonjwa wa kisaikolojia.
Nakiri kuna matatizo ya kiaikolojia ambayo wenye nayo, hawajui kuwa ni ugonjwa na hata wakijua, bado ama wanaendekeza, ama ndio wamezidiwa they can't go back.
jee unajua hata wanawake waopenda ku.... sana ni ugonjwa?.
kuangalia sana porno kupita kiasi ni ugonjwa?.
kujipamba kwa vito vya thamani kubwa kupindukia pia ni ugonjwa?.
Sexual perversions na sexual deviations kama kunilingus (blow job) pia ni ugonjwa. kuna masochisim(kuumizana). madhara makubwa ya magonjwa haya
ni pseudo-importent. yaani unafikia mahali huwezi kuenjoy normal sex mpaka kwanza upige chabo. kuna watu jogoo hawiki mpaka aangalie porno. etc
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hiyo chuo tulikuwa tunaita catalyst, babako nilikuwa ni maarufu kwa mchezo huo hadi hivi leo sijaacha na sina mpango wa kuacha. Ninachofurahia zaidi ni zile sauti hata nikikosa picha sauti zinanitosha.
 
Jamaa alikuwa anapiga chabo....wakati akiendelea kuangalia...aliyekuwa akiangaliwa(Mshughulikaji) akamuona jamaaa....akafanya kama anakwenda toilet...akatoka nje kumcheck jamaa akamgusa mgongoni...jamaa wala hakustuka akasema subiri jamaa ndio kaenda ******...(akifikiri koziman mwenzie)

hahahaha! :)kweli chabo nomaaa..ni kweli kabisa chabo ni ugonjwa kama alivyosema mdau pasco!
 
Chabo ni ugonjwa wa kisaikolojia...kuna watu wengine balaa bila chabo awalali haswa walinzi wa ma guest na mahoteli pia kuna mchezaji mmoja marehemu alikuwa bingwa wa chabo...nafikiri alikubuhu maana alikuwa bingwa hasa tena. Wakiwa mikoani analipa pesa kwa walinzi......
 
Nakumbika enzi zile kuna jamaa alikuwa mzuri sana wa kupiga chabo (Kozimeni). Siku moja wakati wa harakati za kupiga chabo... jamaa wakamshtukia, ila hawakumshtua... Jamaa anayepigwa chabo akajifanya kama anakwenda msalani kumbe alikwenda kuchukuwa spoke ya baiskeli... Mpiga chabo ili na lile hana. Jamaa akamnyemelea kwa ghafla akatoboa jicho na ile spoke ya baiskeli.

Mpiga chabo nje kwa kunogewa na chabo wala hakujuwa kuwa jicho limetobolewa... Alichofanya ni kufyonya na kulalamika kuwa wamemzimia taa...!

Kozimeni: Dah! Kudadeki wamezima taa sijui wamenishtukia!?
 
Last edited:
Nasikia chabo inarutubisha na waganga wengine eti nasikia wanawambia wagonjwa wao watumie Chabo ili kuzidisha wakati wakati wa mechi.
 
Hata mamsapu akikunyima mchezo kwa kudai kachoka au anaumwa kichwa basi unaenda sehemu sehemu iliyotulia na hakuna kelele na kufanya vitu vyako ;)
 
Hata mamsapu akikunyima mchezo kwa kudai kachoka au anaumwa kichwa basi unaenda sehemu sehemu iliyotulia na hakuna kelele na kufanya vitu vyako ;)

Kwani umri gani unaweza kuwa mzuri kwa chabo maana hizo habari nimesoma naona zinanogesha :D kabla hujaoa au baada ya kuoa au ukiwa mzee na manvi ,ila nimeulizia faida naona majawabu mengi tu kuliko faida .Ila imesaidia kujua mengi ,asanteni sana.
 
Ni nini faida ya kupiga chabo ? Kusingekuwepo na watu wanaopiga chabo kama kusingekuwa na faida ,lazima kutakuwa na faida ,jamani msiwe wachoyo hebu tuelezeeni ,inasemwa kuwa wazaramo na wandengereko ni nambari one kwa chabo !
Hakuna faida kabisa...chabo ni aina ya ulevi mbaya kabisa
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom