sixgates
JF-Expert Member
- Mar 19, 2011
- 3,979
- 1,662
Inafika wakati mtu unajifanyia evaluation..nimegundua nina Tatizo. Napenda wanawake ambao nimelingana nao Umri, au walionizidi..nimewahi kuwa na binti nliemzidi age, and the relation didn't work out kabisa.
Nimekuwa katika trend ya kudate wanawake ambao sio wamenizidi that much but unakuta 2 years, one year na kwa sasa nlie nae kanizidi one year na ndio nataka nimweke ndani, raia wananing'ong'a.
Nieleweke, sijawahi kuwa nao kwa sababu wana hela, nashukuru hakuna hata mmoja anaeniweka mjini.
Mnahisi tatizo linaweza kuwa nin? Raia wananiambia ni vizuri nioe mwanamke nliemzidi..kitu kinachoharibu kabisa ni pia kwa muonekano mimi kidogo nina afya chafu hivi kidogo ningekuwa na body ningeweza kufuta hiyo dhana. Nifanyeje wanangu.
Nimekuwa katika trend ya kudate wanawake ambao sio wamenizidi that much but unakuta 2 years, one year na kwa sasa nlie nae kanizidi one year na ndio nataka nimweke ndani, raia wananing'ong'a.
Nieleweke, sijawahi kuwa nao kwa sababu wana hela, nashukuru hakuna hata mmoja anaeniweka mjini.
Mnahisi tatizo linaweza kuwa nin? Raia wananiambia ni vizuri nioe mwanamke nliemzidi..kitu kinachoharibu kabisa ni pia kwa muonekano mimi kidogo nina afya chafu hivi kidogo ningekuwa na body ningeweza kufuta hiyo dhana. Nifanyeje wanangu.