Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,639
Sitasahau alikuwa ni X wangu lakini aliugua akanipigia simu halafu akaniambia " mimi ntakufa lakini tambua NAKUPENDA SANA" dah huwa nikikumbuka hadi chozi linasogea kwenye macho maana siku tatu baada ya kuongea nae alifariki kweli.
Jamani this is too emotional
pole sana hakika ni vigumu kuyasahau hayo maneno