Kichankuli
JF-Expert Member
- Dec 18, 2008
- 887
- 189
Nadhani katika Ulimwengu mzima hakuna watu wanaooana Kaka na Dada na sababu kuu ambayo imekuwa ikielezwa ni ya kibayolojia kwamba iwapo kuna udhaifu katika kizazi hicho, wakioana udhaifu huo utazidi zaidi.
Kwa Waafrika Weusi zuio hilo linaenda hadi kwa watoto wa Baba na mama wadogo, Wajomba na Shangazi n.k. Lakini kwa wenzetu Waarabu huko ni ruksa. naweka hoja zifuatazo kwa ajili ya mjadala:
1) Katika ulimwengu wa sasa ambao tumechanganyikana ni upi ukomo wa ndugu kuoana, au kwa lugha nyingine, ni ndugu yupi ambaye haifai kuoana naye?
2) Ukomo huo uko kisheria au ni kimila?
Kwa Waafrika Weusi zuio hilo linaenda hadi kwa watoto wa Baba na mama wadogo, Wajomba na Shangazi n.k. Lakini kwa wenzetu Waarabu huko ni ruksa. naweka hoja zifuatazo kwa ajili ya mjadala:
1) Katika ulimwengu wa sasa ambao tumechanganyikana ni upi ukomo wa ndugu kuoana, au kwa lugha nyingine, ni ndugu yupi ambaye haifai kuoana naye?
2) Ukomo huo uko kisheria au ni kimila?