Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,559
- 1,452
Ndoa ni Maridhiano/Mkataba kati ya Mwanamme na Mwanamke, ni lazima na common agreement kabla ya ndoa. Sasa ndoa ndio inapokuwa imefungwa bila maridhiano, kwa mfano pande moja haikuridhika kwa sababu fulani fulani basi hiyo ni batili mbele za Mungu na Kidini wanasema It never existed at first place its like a void contract