Mujuni2
Senior Member
- Jun 11, 2008
- 142
- 3
Ni ndani ya Tanzania pekee, yaweza tokea yafuatayo:
1. Kiongozi wa kisaiasa anaweza kukejeli wapiga kura na bado akashangiliwa.
2. Wanasiasa hawawajibiki kwa waliowachagua.
3. Uraia unakuwa muhimu pale tu, mhusika anapogombea nafasi ya kisiasa.
4. Chama tawala hutumia kodi za wananchi kwa maslahi ya kisiasa na hasa uchaguzi.
5. Chama cha wafanyakazi(walipa kodi) kinasalimu amri kutoka serikali kuu.
6. Wabunge wasiowajibika kwa wapiga kura huchaguliwa kwa miongo mfululizo.
7. Afya ya Rais inalinganishwa na nyaraka za siri za serikali.
8. Mfumuko wa bei za bidhaa (mkate)hauambatani na maandamano ya kupinga.
9. Vyama vya upinzani hupingana badala ya kuungana.
10. Chama anachotoka mgombea kinapewa nafasi kubwa, kuliko uwezo binafsi wa mgombea.
..Waweza ongeza zako kwenye list hii.......
1. Kiongozi wa kisaiasa anaweza kukejeli wapiga kura na bado akashangiliwa.
2. Wanasiasa hawawajibiki kwa waliowachagua.
3. Uraia unakuwa muhimu pale tu, mhusika anapogombea nafasi ya kisiasa.
4. Chama tawala hutumia kodi za wananchi kwa maslahi ya kisiasa na hasa uchaguzi.
5. Chama cha wafanyakazi(walipa kodi) kinasalimu amri kutoka serikali kuu.
6. Wabunge wasiowajibika kwa wapiga kura huchaguliwa kwa miongo mfululizo.
7. Afya ya Rais inalinganishwa na nyaraka za siri za serikali.
8. Mfumuko wa bei za bidhaa (mkate)hauambatani na maandamano ya kupinga.
9. Vyama vya upinzani hupingana badala ya kuungana.
10. Chama anachotoka mgombea kinapewa nafasi kubwa, kuliko uwezo binafsi wa mgombea.
..Waweza ongeza zako kwenye list hii.......