Kalunguine
JF-Expert Member
- Jul 27, 2010
- 2,543
- 134
Ni nani mpinzani wa Kweli na Nani Mzalendo wa Kweli nchini Tanzania?
Wimbi la kuvurugana kwenye vyama vya upinzani bado linaendelea kuvitesa vyama hapa nchini!
Kina David Kafulila kufukuzwa, Hamad naye huko CUF vivyo hivyo hadi unajiuliza maswali mengi tu kama vile je hawa walifanya makusudi ama kwa kurubununiwa na kutumwa ili wadhoofishe upinzani kwa kisingizio cha kutoa siri za vyama vyao? Au ni watu kama kina Mbat** wanaosemwa ni NCCM ndio wanafanya kazi waliotumwa?
Huko CHADEMA nako sitashangaa kusikia baadhi ya viongozi wa juu huenda wana ajenda za siri kuhusu upinzani na mustakabali wake - na wengine wametuhumiwa hivyo
Frankly ukweli wa uzalendo na wa upinzani unabakia siri yako wewe moyo wako kama una uchungu na nchi yako na hatima ya wanyonge wa Tanzania inaendelea kuwekwa rehani kwa unafikli na maslahi binafsi ya wengi wetu ambao ni wasaliti!
Wimbi la kuvurugana kwenye vyama vya upinzani bado linaendelea kuvitesa vyama hapa nchini!
Kina David Kafulila kufukuzwa, Hamad naye huko CUF vivyo hivyo hadi unajiuliza maswali mengi tu kama vile je hawa walifanya makusudi ama kwa kurubununiwa na kutumwa ili wadhoofishe upinzani kwa kisingizio cha kutoa siri za vyama vyao? Au ni watu kama kina Mbat** wanaosemwa ni NCCM ndio wanafanya kazi waliotumwa?
Huko CHADEMA nako sitashangaa kusikia baadhi ya viongozi wa juu huenda wana ajenda za siri kuhusu upinzani na mustakabali wake - na wengine wametuhumiwa hivyo
Frankly ukweli wa uzalendo na wa upinzani unabakia siri yako wewe moyo wako kama una uchungu na nchi yako na hatima ya wanyonge wa Tanzania inaendelea kuwekwa rehani kwa unafikli na maslahi binafsi ya wengi wetu ambao ni wasaliti!