ulimwengu na vyote viijazavyo ni mali ya MunguTangu naanza kupata mafundisho ya kiiman.... Niliambiwa dunia ni ya Mungu... Lkn kwa sasa wamepinga sana uwepo wa Mungu.
Hata wana sayansi nao wamepinga uwepo wa Mungu.
Sasa je... Hii dunia na vyote viijazavyo ni mali ya nani?
Mbona tunakufa tunaiacha duniaya kwetu sote
Ya kaisari muachie kaisari na ya musa mpe musa, huwezi changanya dini na sayansiTangu naanza kupata mafundisho ya kiiman.... Niliambiwa dunia ni ya Mungu... Lkn kwa sasa wamepinga sana uwepo wa Mungu.
Hata wana sayansi nao wamepinga uwepo wa Mungu.
Sasa je... Hii dunia na vyote viijazavyo ni mali ya nani?
Dunia uionayo ni illusion ,Dunia halisi utaiona baada ya kufa!Mbona tunakufa tunaiacha dunia
Waliopinga ni wanadamu au ni Mungu mwenyewe?Tangu naanza kupata mafundisho ya kiiman.... Niliambiwa dunia ni ya Mungu... Lkn kwa sasa wamepinga sana uwepo wa Mungu.
Hata wana sayansi nao wamepinga uwepo wa Mungu.
Sasa je... Hii dunia na vyote viijazavyo ni mali ya nani?
Mbona ardh mpaka uombe serekalini? Na unapangishwa kwa mudaAiseeh mmuda zingine bhana!!!
na mungu anamilikiwa na nani..?Dunia ni ya Mungu hata wafanyeje itabaki kuwa ya Mungu
Jibu ni Mungu..Tangu naanza kupata mafundisho ya kiiman.... Niliambiwa dunia ni ya Mungu... Lkn kwa sasa wamepinga sana uwepo wa Mungu.
Hata wana sayansi nao wamepinga uwepo wa Mungu.
Sasa je... Hii dunia na vyote viijazavyo ni mali ya nani?
Wewe mtu isome post yangu nini nilichoandika, usiedit na kuweka kitu kingine ambacho mi sikuweka ukaja niquote.Mbona ardh mpaka uombe serekalini? Na unapangishwa kwa muda
Aiseeh mada zingine bhana!!!