Raiamwematz
Senior Member
- May 9, 2012
- 104
- 28
Naombeni kujua mmiliki wa clouds tv na fm radio
Naombeni kujua mmiliki wa clouds tv na fm radio
hakuna mmiliki pale, ile kampuni inaendeshwa na vijana wanaojihisi wao ni wamarekani si watanzania as wanabeza sana vitu vya majuu kuliko vya bongo. Kiswahili ndo lugha yao ila wanajifanya hawajui na english hawajui ila wanajifanya wamarekani wa kibongo, kuna kazi hapo.
..ndio nini hiyo?Naombeni kujua mmiliki wa clouds tv na fm radio
Familia ya Kusaga ndio wamiliki
Mali za Kusaga, Ruge muajiriwa tu, hana hata hisa
..ndio nini hiyo?
Nasikia Kusaga na Kibonde ni "Partners"
nasikia anaitwa Joseph Kusaga....