minji
JF-Expert Member
- Sep 2, 2016
- 2,751
- 4,933
Kibwana Dachi.
Kibwana Dachi.
Rafiki wa Lowasa...
Lowasa alikutia mimba kwa style ya dog style?huishi kumtaja
Mm wananikera sana na vipindi vya makanisa ya kupumbaza watu...yaani naangalia the way watanzania tulivyo kichwani..........
Wote wale wale .....Vp kuhusu yule anayefanya kipindi cha nyota zenu mkuu?
Msaada kwa anayejua mmiliki wa Chanel ten
Post sent using JamiiForums mobile app
Nikwel mkuuNasikia Bashite kachukua majority of shares hapo!!?
Sasa mbona mirindimo ya ngoma yetu Vanga mwenzenu unacheza kwasakwasa?Tv za Kenya haziwezi kutowa coverage ya mazishi ya Kanumba, kuna vitu vingi vya msingi vya kuripoti.
Peleka matangazo yako wewe unafikiri wanaendesha kwakutumia mwarobaini mkuu acha kuangalia wakifika kina mzee wa upakoMm wananikera sana na vipindi vya makanisa ya kupumbaza watu...yaani naangalia the way watanzania tulivyo kichwani..........
Ulipotoka kwenda wapi!!! Sema ulikoseaNdio, awali nilikuwa najua ni mali ya Rostam kumbe nilipotoka.
Wote wale wale .....
Wahindi