Wadau nina matangazo yangu ya kikampuni changu, na nilikuwa napanga kupeleka pale channel Ten, sasa nikampigia simu rafiki yangu anisindikize ndipo akaniuliza kwani na wewe ni fisadi? nikamwambia sijakuelewa ndipo akaniambia kuna kituo hicho kimenunuliwa na mafisadi yule Mwitaliano hayupo.
Akasema kinamilikiwa na Rostam Aziz pamoja na Edward Lowassa nikabaki mdomo wazi. Ila naye hana uhakika. Mwenye kuujua ukweli huu atujulishe ili tusiendelee kuwaunga mkono mafisadi.
Akasema kinamilikiwa na Rostam Aziz pamoja na Edward Lowassa nikabaki mdomo wazi. Ila naye hana uhakika. Mwenye kuujua ukweli huu atujulishe ili tusiendelee kuwaunga mkono mafisadi.