Ni nani mdini namba moja, ni nani alaumiwe katika hali hii-tutafakari sana!

luckman

JF-Expert Member
Oct 11, 2010
1,211
371
Nimekuwa nikifatilia kwa karibu sana matukio mbalimbali yanayoendelea kutokea hapa nchi nikijiuliza hasa chanzo cha hii migogoro ni nini, lakini nashtushwa na jamabo moja kuwa, hisia tulizonazo sisi waisilamu ni juu ya wakristo kuonekana wameshamiri sana kwenye elimu dunia, sisi tumekuwa na hofu sana isiyo na maana, mimi nadiriki kusema haya kwa sababu wakristo ni watu wastarabu sana kwa sababu ya elimu zao, sisi kazi yetu ni miadhara na madrassa ambavyo vinaonekana kuwa kaa la moto, alafu raisi anakosea sana kwani ameonekana wazi kutupendelea katika nyadhifa nyeti ndani ya serikali mfano

1.mkuu wa polisi saidi mwema muislam
2.jaji mkuu othman chande muislamu
3. mkuu wa usalama wa taifa muislamu
4.rais mwenyewe mkuu wa nchi muislam
5.mkuu wa kanda maalum dar es salaam muislam-kova
6.makamu wa rais muislam-bilal
7.rais wa zanzibar muislam-shein
8.waziri wa elimu-kawambwa
9.waziri wa viwanda-kigoda
10.waziri wa afya-mwinyi
11.waziri wa mawasiliano na naibu wake-mbawala na makamba
12.waziri wa maji na umwagiliaji-maghembe
13.waziri wa mambo ya ndani-naodha
14.WAZIRI MALIASILI-KAGASHEKI
15.waziri ofisi ya raisi -hawa ghasia
16.jinsia na watoto-sofia simba
17.mkuu wa mkoa wa dar es salaam muislam


ukija kwa wakuu wa mikoa, wakurugenzi, wakuu wa wilaya story ni hiyo hiyo.

kweli rais wetu amekuwa mdini sana, afu tujiulize, ingekuwa wakristo ndo wamechoma msikiti hali ingekuwaje?

lazima tukae chini tujiulze, tumekosea wapi na sikuwa na miadhara isiyokuwa na maana kumjadili yesu na kupinga sio mungu haitusaidii, inabidi tukazanie elimu na tujifunze dini yetu.
 
Wewe ni zuzu! 80% ya baraza la mawaziri, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya, watumishi serikalini wanaabudu msalaba!
 
Mkuu mbona orodha yako imeishia njiani, tupe idadi ya Mawaziri wote pamoja na manaibu wake halafu tuambie Waislam ni wangapi na Wakiristo ni wangapi, halafu tupe orodha ya makatibu wakuu wa wizara Waislam wangapi Wakiristo wangapi, halafu tupe idadi ya wabunge wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Waislam wangapi na Wakiristo wangapi, halafu tupe idadi ya waajiriwa wa wizara zote na mashirika ya umma Wakiristo wangapi na Wislam wangapi, halafu nenda kwenye orodha ya Dr Slaa ya mafisadi wa Tanzania halafu tuambie Wakiristo wangapi na Waislam wangapi.
 
Mpuuzi Mdini nambari moja alikuwa Nyerere hadi akina nyie. More than 70% ya baraza la mawaziri wakristo nani mdini????
 
Kweli watanzania tunasikitisha, tangu lini tunachaguana katika nyadhifa au kupeana ajira kwa kutumia kigezo cha udini? kigezo kinachotumika ni elimu na uwezo; tukubali tu waislamu wengi hatukusoma mapema ndio maana utawala wa nyerere ukawa na wakristo wengi. Sasa cha kufanya sio kuchoma makanisa, ni kuinvest kwenye elimu ili tuweze kula nao sahani moja. Unafikiri kuandamana kama mwenda wazimu ndio kutakupa ajira kama huna qualification eti kwa kuwa wewe ni muislam? Tuangalie watu wenye akili zao wanafanyaje, China haikuwa super power kwa kuandamana na kuchoma westerners, wamejifungia ndani wakapiga kazi na sasa wananguvu duniani kuliko hao westerners. Sasa na sisi cha kufanya ni kusoma na kuhakikisha kila nafasi anayegombea mkristo iwe siasa au ajira ya kawaida basi kuna muislam anayeweza kushindana nae kwa qualification!
 
Mkuu luckman, nadhani kuna shida kidogo...sijui kama ulizingatia haya pia;

Sijui definition yako ya Udini ikoje, ila nijuavyo mimi ni kwa mtu yule mwenye kutumia upendeleo wa kiimani(hasa wa imani yake) katika uamuzi wa jambo;

-Kitakwimu Waislamu ni wengi kuliko wakristo.
-Kitakwimu wakristo wana asasi nyingi zisizo za kiserikali(NGOs) mashule, hospitali n.k. na katika hizo bado waislamu wanafanya kazi katika hizo.

@ Ritz,
Huwezi, kusema viongozi wa serikali ukawachukulia wabunge(INGAWA ni viongozi) katika kusema utatumia kigezo hicho kutambua "udini" wa Mh. anayetajwa na Mkuu luckman, kwasababu wabunge hawachaguliwi na Rais(unless wa kuteuliwa/viti maalum)...so judgement/analysis inafaa kwa wale wateuliwa wa Rais(wakuu wa mikoa, mawaziri, mabalozi, n.k)

Sidhani kama ni sahihi sana kwa mitazamo yetu ya "udini" itafika kipindi tutasema Rais ama Presidential candidate hatakiwi kuwa na dini!! Na tukifika hapo sijui itakuwaje kuhusu makabila?!.
 
Nimekuwa nikifatilia kwa karibu sana matukio mbalimbali yanayoendelea kutokea hapa nchi nikijiuliza hasa chanzo cha hii migogoro ni nini, lakini nashtushwa na jamabo moja kuwa, hisia tulizonazo sisi waisilamu ni juu ya wakristo kuonekana wameshamiri sana kwenye elimu dunia, sisi tumekuwa na hofu sana isiyo na maana, mimi nadiriki kusema haya kwa sababu wakristo ni watu wastarabu sana kwa sababu ya elimu zao, sisi kazi yetu ni miadhara na madrassa ambavyo vinaonekana kuwa kaa la moto, alafu raisi anakosea sana kwani ameonekana wazi kutupendelea katika nyadhifa nyeti ndani ya serikali mfano

1.mkuu wa polisi saidi mwema muislam
2.jaji mkuu othman chande muislamu
3. mkuu wa usalama wa taifa muislamu
4.rais mwenyewe mkuu wa nchi muislam
5.mkuu wa kanda maalum dar es salaam muislam-kova
6.makamu wa rais muislam-bilal
7.rais wa zanzibar muislam-shein
8.waziri wa elimu-kawambwa
9.waziri wa viwanda-kigoda
10.waziri wa afya-mwinyi
11.waziri wa mawasiliano na naibu wake-mbawala na makamba
12.waziri wa maji na umwagiliaji-maghembe
13.waziri wa mambo ya ndani-naodha
14.WAZIRI MALIASILI-KAGASHEKI
15.waziri ofisi ya raisi -hawa ghasia
16.jinsia na watoto-sofia simba
17.mkuu wa mkoa wa dar es salaam muislam


ukija kwa wakuu wa mikoa, wakurugenzi, wakuu wa wilaya story ni hiyo hiyo.

kweli rais wetu amekuwa mdini sana, afu tujiulize, ingekuwa wakristo ndo wamechoma msikiti hali ingekuwaje?

lazima tukae chini tujiulze, tumekosea wapi na sikuwa na miadhara isiyokuwa na maana kumjadili yesu na kupinga sio mungu haitusaidii, inabidi tukazanie elimu na tujifunze dini yetu.
Kuwa na waislam kwenye kila position, siyo tatizo.
Naona hata hao bado hawatoshi. Wateuliwe kushika nafasi zote.Mradi watufikishe kunakotakiwa.Waonyeshe tofauti ya utendaji na pia wawe na viwango madhubuti vya utendaji. Kibaya ni kuweka watu ambao hawana uwezo mradi tu ni waislam.

Waache kulalama kila kukicha watuache tuchape kazi tuijenge Tanzania
 
Sauala la muhimu hapa ni kwa nini nchi haina usalama wakati wakuu wote wa usalama ni waislamu wanaodai wanaonewa me hapo sijui nini kinatakiwa hapo.......watu hawafikiriii kazi kuchoma makanisa..kwani makanisa yanahusiana na nini?
 
Mkuu mbona orodha yako imeishia njiani, tupe idadi ya Mawaziri wote pamoja na manaibu wake halafu tuambie Waislam ni wangapi na Wakiristo ni wangapi, halafu tupe orodha ya makatibu wakuu wa wizara Waislam wangapi Wakiristo wangapi, halafu tupe idadi ya wabunge wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Waislam wangapi na Wakiristo wangapi, halafu tupe idadi ya waajiriwa wa wizara zote na mashirika ya umma Wakiristo wangapi na Wislam wangapi, halafu nenda kwenye orodha ya Dr Slaa ya mafisadi wa Tanzania halafu tuambie Wakiristo wangapi na Waislam wangapi.

Akimaliza tutoa vyote hivo halafu na wewe utupe: SHULE ZA KIKRISTO NI NGAPI NA ZA KIISLAM NI NGAPI, alafu utupe vyuo vikuu vya kikristo vingapi ni vingapi na ya kiislamu vingapi, pia utupe idadi ya wanafunzi (kuanzia la kwanza hadi chuo kikuu ni wangapi kwa kila dini). Pia usisahau kutuhabarisha idadi ya hospitali zilijengwa na sadaka za kanisa na zilizojengwa na waislamu.......
 
tafakuru ya kina kuhusu mstakabali wa nchi yetu ni lazima, lakini si kuruhusu watu wachache wavuruge nchi yetu kama vile wao wapo juu ya sheria hilo NOOOOOOOO! tusikubali kudanganywa na waislamu wachache ambao hawaitaki mema nchi yetu. Usalama wa nchi yetu KWANZA
 
Mkuu mbona orodha yako imeishia njiani, tupe idadi ya Mawaziri wote pamoja na manaibu wake halafu tuambie Waislam ni wangapi na Wakiristo ni wangapi, ....
Kwa ratio ya wasomi nchini, serikali haikutakiwa kuwa na wateule wote hao waisilamu. Kwa maana nyingine hata kama wakristu ni wengi katika baraza la mawaziri, walitakiwa kuwa wengi zaidi ya hapo, mumshukuru JK
 
Mkuu luckman, nadhani kuna shida kidogo...sijui kama ulizingatia haya pia;

Sijui definition yako ya Udini ikoje, ila nijuavyo mimi ni kwa mtu yule mwenye kutumia upendeleo wa kiimani(hasa wa imani yake) katika uamuzi wa jambo;

-Kitakwimu Waislamu ni wengi kuliko wakristo.
-Kitakwimu wakristo wana asasi nyingi zisizo za kiserikali(NGOs) mashule, hospitali n.k. na katika hizo bado waislamu wanafanya kazi katika hizo.

@ Ritz,
Huwezi, kusema viongozi wa serikali ukawachukulia wabunge(INGAWA ni viongozi) katika kusema utatumia kigezo hicho kutambua "udini" wa Mh. anayetajwa na Mkuu luckman, kwasababu wabunge hawachaguliwi na Rais(unless wa kuteuliwa/viti maalum)...so judgement/analysis inafaa kwa wale wateuliwa wa Rais(wakuu wa mikoa, mawaziri, mabalozi, n.k)

Sidhani kama ni sahihi sana kwa mitazamo yetu ya "udini" itafika kipindi tutasema Rais ama Presidential candidate hatakiwi kuwa na dini!! Na tukifika hapo sijui itakuwaje kuhusu makabila?!.


takwimu zipi hadi sasa zinaonesha waislamu ni wengi kuliko wakristo? haipo takwimu ya namna hiyo, watu wanahisi tu eti kwa kuoa wake wengi ndo sababu tunashindwa kutambua kuwa wanaooa wanawake wengi si wote! alafu lazima uangalie wasomi wa kikikristo ni wangapi na waislamu ni wangapi! alafu ujue wateule wa rais tena wizara nyeti kwa nini ni wasilam ni wengi,

-hii ndo inapelekea waislamu kuwa na kibri, kila kitu kukaidi! tuliona shekhe Ponda alipokamatwa waliandamana akaachiwa,
-walisema wataandamana kupinga firm ya kimarekani inayomponda mtume, polisi wakawakataza lakini waliandamana hadi kidongo chekendu hakuna aliyewagusa
-wanachoma makanisa kila kukicha na shule za kikiristo hakuna juhudi za makusudi kusitisha upuuzi huu,

sikia mimi nakerwa sana na ndugu zangu hawa! tufike mahala tuseme inatosha
 
Wewe nyumba inawaka moto unaimwagia petrol ili moto uzimike, wabongo bana
 
Maliwaza unanishangaza sana ndugu yangu.Hii habari ya kuwa waislamu wengi hawakusoma sijui mnaitoa wapi.hivi hamjui katika uislamu kutafuta elimu ni katika ibada kubwa.Hata tulivyokuwa tukibanwa na mfumo uliokuwa hasi kwa waislamu kielimu tulijiendeleza sisi wenyewe.Usihukumu kabisa kuwa waislamu hawajasoma.Tafuta takwimu kak utashangaa.
 
mkuu angalia idadi ya mawaziri, makatibu wakuu, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya na wateule wengine interms of % hapo utapat jibu kuwa ni wapi wengi
 
Back
Top Bottom