Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,350
Mkuu,
tumia akili yako wakati mwingine! Unadhani hii kitu ya ushushushu ikiwekwa kama comment katika thread ambayo teyari ina kurasa nyingi (let say 5) kisha ikawa ni comment katika page ya 3 hivi utaiona kweli? Utaisoma kweli? Ni watu wangapi humu huwa wanapitia comment/replies zote kuanzia ukurasa wa kwanza mpaka wa mwisho? Kama umeboreka na issue ya Muro basi achana nazo! Mbona kuna thread nyingi tu humu jamvini za kutembelea? Kama vipi basi ngoja niwaombe mods waitie kapuni hii thread. Naomba unisamehe mkuu...sikukusudia kukukwaza!
wewe leo vipi? kwema kaka.