majorbuyoya
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 1,828
- 564
- Thread starter
- #21
.................zipi ambazozenye kichwa na miguu?. Hapa hakuna siasa ni kitu ambacho kimeandikwa kwenye gazeti ambalo linasomwa Tanzania nzima, kinachotakiwa kama unaona hiki kitu siyo cha kweli upinge kwa hoja na ushahidi na siyo kukataa tu sababu ushazoea kila kitu kukataa.hizi ni propaganda zisizo na kichwa wala miguu