Macos
JF-Expert Member
- May 12, 2008
- 1,979
- 1,416
Yataisha haya..wala hotosikia tena baada ya 2015..ccm watam weka mkatoliki basi yataisha hata akiuza nchi sooote kimya...hata akiiuza madini yoooote media yote ita freeze...
Hata akibinafsisha banki kuu "( nbc) sotekimyaaaaa
hata akiuu kama ilivotokea pemba 2001..watasema saw
hata tukinunua tena rada bomu...mapadre kimyaaaaaa
basi hapo choko choko zitaisha
na kwa jamaa zangu chadema upepo utabadilika....kanisa sasa lita msa pot wa ccm jitayarasheni..kwani naamini hapo utaona upepo una badilika na cuf kuchukua nafasi ya 2 na cdm ya 3
huu ndio ukweli .na utabiri
Hata akibinafsisha banki kuu "( nbc) sotekimyaaaaa
hata akiuu kama ilivotokea pemba 2001..watasema saw
hata tukinunua tena rada bomu...mapadre kimyaaaaaa
basi hapo choko choko zitaisha
na kwa jamaa zangu chadema upepo utabadilika....kanisa sasa lita msa pot wa ccm jitayarasheni..kwani naamini hapo utaona upepo una badilika na cuf kuchukua nafasi ya 2 na cdm ya 3
huu ndio ukweli .na utabiri