Suzie
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 1,259
- 409
Kwa sasa hatujali CV tunataka utekelezaji.Mtu wakuondoa au kupunguza matatizo ya mifumo ya kifedha na ukuaji wa uchumi na atimaye maisha ya kila Mtanzania yasonge mbele bila shida
CV muhimu ijulikane huko alikopita labda kafisadi