Eliza wa Tegeta
JF-Expert Member
- Dec 4, 2011
- 251
- 108
Kuna baadhi ya vichwa nimevishangaa kama huyu waziri wa fesha na yule wa maliasili na utalii, kumbe kuna wengi ambao wanavuta hisia za matumaini, kwa nini alikuwa anawang'ang'ania akina megawati na mkulo?
Mgimwa ni kiazi!
Watch this space mwaka mmoja baadae!!
I tell you me.