ASKOFU MSAIDIZI
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 209
- 23
Jaman naomba kuuliza ni nani asiyemtambua Dr. Slaa. Mzee huyu namkubali kwa msimamo wake na kwa kutotafuna maneno, Kuanzia kwenye kampeni mpaka hivi leo bado msimamo wake uko pale pale. Kama huwezi amini basi amini hili mfano mzuri Alitangaza kutokumtambua JK kama rais wa JMT na sasa hakwenda Ikulu kwa makubaliano kama walivyofanya viongozi wengine.
Nakukubali sana mzee ndo maana umeenda shule.
Kwa haraka haraka naomba upitie C.V ya Raisi wa Tanzania Ijayo.
Nakukubali sana mzee ndo maana umeenda shule.
Kwa haraka haraka naomba upitie C.V ya Raisi wa Tanzania Ijayo.