Jamani wana Jf hebu naomba mnifahaamishe kwa kuzingatia makundi na mivutano ya hapahapa ndani ya chama tawala CCM naamini hivi sasa kuna kambi ambazo zimeshaanza mikakati ya chinichini kuelekea uchaguzi ujao!
jamani wana jf hebu naomba mnifahaamishe kwa kuzingatia makundi na mivutano ya hapahapa ndani ya chama tawala ccm naamini hivi sasa kuna kambi ambazo zimeshaanza mikakati ya chinichini kuelekea uchaguzi ujao!