Jatropha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2009
- 1,151
- 199
katika siku za hivi karibuni upepo wa kampeni za uchaguzi mkuu zimeanza kuchukua mweleko wa udini. Mweleko huu ni njama zinzoratibiwa na mafisadi kwa kushirikiana na timu ya kampeni ya ccm ili mgombea urais wa cc mhe jakaya kikwete aweze kupata huruma ya watu wa dini fulani na hatiamaye kupigiwa kura eti kwa madai kuwa anasakamwa na watu wa dini tofauti na ya kwake.
Kumbukumbu zinaonyesha japo mgombea wa ccm sasa hivi anaonekana kutumia udini kujinusuru, hana rekodi ya kuwa msaada wowote wa maana kwa dini yake k.m alikubali masuala fulani ya udini kuingizwa katika ilani ya uchaguzi ya ccm ya mwaka 2005, na akanadi ilani hiyo mwaka 2005 ikiwa na ahadi hizo. Lakini alipopata madaraka akshindwa kutimiza hyo ahadi.
Tatizo kubwa lililopo hapa nchini ni ufisadi. Mgombea urais wa ccm katika kipindi cha uongozi wake 2005-2010 amepta fursa mabali mbali za kuweza kufanya maamuzi ya kijasiri kukomesha na kufiutilia mbali ufisadi hapa nchini, lakini mara zote amekuwa akitoa bla blah tu biula ya kuchukua hatua zozote za kufaa dhidi ya wahusika.
Kibaya zaidi katika kampeni za uchaguzi mkuu wa 2010 mgombea urais wa ccm amefanya lile amablo halikutarajiwa na wengi; nalo ni kuwasafisha watuhumiwa wore wa ufisadi mkubwa hapa nchini ili wacahaguliwe tena kuwa wabunge na viongozi wa taifa hili. Kitendo hiki ndio kimewakera sana wananchi kiasi cha kufikia kudai mabadiliko.
Hivyo watanzania wenzangu, miaka yote waislamu na wakristo tumekuwa tukiishi kwa amani na utulivu bila ya kubaguana. Tusikubali njama za mafisadi kutaka kutugawa ili kudhoofisha nguvu ya mapamabano dhidi ya ufisadi hapa nchini. Ni mategemeo yangu katika mijadala yetu tutazingatia kuwa watu wa dini tofauti hawana matatizo dhidi ya wao wenyewe. Ila watanzania tuna tatizo nz ufisadi unaoshamiri kwa kasi hapa nchini kwa kulelewa na viongozi waandamizi wa ccm
Kumbukumbu zinaonyesha japo mgombea wa ccm sasa hivi anaonekana kutumia udini kujinusuru, hana rekodi ya kuwa msaada wowote wa maana kwa dini yake k.m alikubali masuala fulani ya udini kuingizwa katika ilani ya uchaguzi ya ccm ya mwaka 2005, na akanadi ilani hiyo mwaka 2005 ikiwa na ahadi hizo. Lakini alipopata madaraka akshindwa kutimiza hyo ahadi.
Tatizo kubwa lililopo hapa nchini ni ufisadi. Mgombea urais wa ccm katika kipindi cha uongozi wake 2005-2010 amepta fursa mabali mbali za kuweza kufanya maamuzi ya kijasiri kukomesha na kufiutilia mbali ufisadi hapa nchini, lakini mara zote amekuwa akitoa bla blah tu biula ya kuchukua hatua zozote za kufaa dhidi ya wahusika.
Kibaya zaidi katika kampeni za uchaguzi mkuu wa 2010 mgombea urais wa ccm amefanya lile amablo halikutarajiwa na wengi; nalo ni kuwasafisha watuhumiwa wore wa ufisadi mkubwa hapa nchini ili wacahaguliwe tena kuwa wabunge na viongozi wa taifa hili. Kitendo hiki ndio kimewakera sana wananchi kiasi cha kufikia kudai mabadiliko.
Hivyo watanzania wenzangu, miaka yote waislamu na wakristo tumekuwa tukiishi kwa amani na utulivu bila ya kubaguana. Tusikubali njama za mafisadi kutaka kutugawa ili kudhoofisha nguvu ya mapamabano dhidi ya ufisadi hapa nchini. Ni mategemeo yangu katika mijadala yetu tutazingatia kuwa watu wa dini tofauti hawana matatizo dhidi ya wao wenyewe. Ila watanzania tuna tatizo nz ufisadi unaoshamiri kwa kasi hapa nchini kwa kulelewa na viongozi waandamizi wa ccm