Jifunze kupambana nao kama mimi ninavyopambana nawe...utafanikiwa
Unapambana au unaleta udaku tu .. yale yale ya kusema kuwa Zitto anaandamwa na wamachame?
Omar, ulivyokosa msimamo wa nini unataka kufanya kwenye siasa za bongo - kuwa au kutokuwa mpinzani wa mafisadi ya ccm, ulipoteza kila kitu.
Siku hizi unabwatuka tu eti unajali sana ndoa za watu ..... kweli? unataka kuongelea ndoa za watu? una hakika hicho ndicho unataka kuongelea, na je utaongelea ndoa za watu zinazomhusisha Kikwete, Zitto, wewe mwenyewe, na wanasiasa karibu wote Tanzania?