Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,288
Najua ni wivu ndio ulikuwa ukimsumbua, hana lolote.
Mwenzie nilitoa muda wangu, nikate'neza baruti yangu ya plagi ya pikipiki na manyoya ya kuku, plagi yeyewe niliipata kwa shida gereji kwa Mudi NIGA, manyoya nikaokota jalalani.
Mpaka saa mbili usiku wa jana nilikuwa nayo, lakini nusu saa kabla ya sherehe za mwaka mpya, baruti yangu ikawa haionekani... Nakumbuka vizuri sana nilipoiweka, mahali salama, hata panya asingeifikia.
Huyu aliyenichukulia nimemsamehe, ila sitamsahau kabisa, kwa jinsi alivyonifanya nilale kabla sijauona mwaka!
Mwenzie nilitoa muda wangu, nikate'neza baruti yangu ya plagi ya pikipiki na manyoya ya kuku, plagi yeyewe niliipata kwa shida gereji kwa Mudi NIGA, manyoya nikaokota jalalani.
Mpaka saa mbili usiku wa jana nilikuwa nayo, lakini nusu saa kabla ya sherehe za mwaka mpya, baruti yangu ikawa haionekani... Nakumbuka vizuri sana nilipoiweka, mahali salama, hata panya asingeifikia.
Huyu aliyenichukulia nimemsamehe, ila sitamsahau kabisa, kwa jinsi alivyonifanya nilale kabla sijauona mwaka!