idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,312
Mkuu Ruta unatuchanganya kwa misimamo yako.kwenye thed yako ya nyuma ulijaribu kutuaminisha kwamba ccm inajukumu la kutuletea raisi bora 2015 maana vyama vya upinzani havijajipanga kushika dola. Leo unakuja na uchambuzi wa bajeti kwa kuponda chama ambacho awali ulidai kimekomaa kuongoza nchi..kwa hiyo bado unamsimamo kuwa ccm inaweza kuwa na mbinu mbadala kumwokoa mtanzania kutoka kwenye tope la ufukara.?