punainen-red
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 1,731
- 450
Mkuu, kama nimesoma vizuri, hilo jibu alijibu kuhusiana na michubuko mkononi, siyo kuonekana kwake mtoni.yule ndio mwandishi wa habari alio hojiwa na akasema alitoka kukata mti christimas na alisha thibitisha hilo! yani hapo ni utata mtupu mi nina msaspect huyo ex husband wake.