Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Mwaka huu wataumwa matumbo ya kuharisha mpaka basi.
Serikali haina hata wiki ilishaanza kusafisha mafisadi; na kuumbuliwa within the same week. PCCB wanaipaka mavi serikali ya JK just on the first week of it's existance.
Aibu kuu. JK kazi ya Urais haiwezi, kwasababu hawezi kuunda Serikali makini.
Na kwa taarifa yao tu........................
Dr. Slaa atatoka na "jiwe la kisogo" soon.
Itafika mahali vyombo vya ulinzi na usalama na mabunduki yao watuache tuandamane ama watuue tu. Nchi hii hakuna haki.
Stay tuned.
Serikali haina hata wiki ilishaanza kusafisha mafisadi; na kuumbuliwa within the same week. PCCB wanaipaka mavi serikali ya JK just on the first week of it's existance.
Aibu kuu. JK kazi ya Urais haiwezi, kwasababu hawezi kuunda Serikali makini.
Na kwa taarifa yao tu........................
Dr. Slaa atatoka na "jiwe la kisogo" soon.
Itafika mahali vyombo vya ulinzi na usalama na mabunduki yao watuache tuandamane ama watuue tu. Nchi hii hakuna haki.
Stay tuned.