Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 481
Naam ni mwanao
Mwanao wa kumzaa
Unampenda sana tena sana tuuuuuuu
Unatamani awe na maisha bora
Akuletee heshima
Umemsomesha kwenye shule nzuri na zenye heshima kitaaluma
Hapa kati hapa unagundua
Huyu mtoto huyu ni malaya kupindukia
Kila aina ya uhuni anao
Kubadilisha wanaume kila uchao, pombe kwa sana, sigara na mibangi ni kawaida kwake,
Ukaamua kumpeleka mbali ili asikutie aibu
Sasa kamaliza form 6 anakuja nyumbani
Saidia as wewe ndo mzazi wake huyo binti unashauri nini hapa!
Rafiki yangu yuko kwenye wakti mgumu msaidieni wajameni
Mwanao wa kumzaa
Unampenda sana tena sana tuuuuuuu
Unatamani awe na maisha bora
Akuletee heshima
Umemsomesha kwenye shule nzuri na zenye heshima kitaaluma
Hapa kati hapa unagundua
Huyu mtoto huyu ni malaya kupindukia
Kila aina ya uhuni anao
Kubadilisha wanaume kila uchao, pombe kwa sana, sigara na mibangi ni kawaida kwake,
Ukaamua kumpeleka mbali ili asikutie aibu
Sasa kamaliza form 6 anakuja nyumbani
Saidia as wewe ndo mzazi wake huyo binti unashauri nini hapa!
Rafiki yangu yuko kwenye wakti mgumu msaidieni wajameni