Jacky ! Usijikatishe tamaa dawa yake ni kuivishwa kiimani.
hiyo roho ya jiwe?? labda kama huyo mtoto sijamzaa mie
Jacky ! Usijikatishe tamaa dawa yake ni kuivishwa kiimani.
uzushi mtupu...hapa JF ni kwa watu wazima,sio kwa watoto mnaowadanganya na peremende....hamna hata haya kha...?
hiyo roho ya jiwe?? Labda kama huyo mtoto sijamzaa mie
Hii ni hadith ya kusadikika iliyotukuka! Hiyo nguvu aliipata wapi? Labda kama ana moyo wa jiwe.
hakuna uchungu mkubwa kuliko wa mtoto,
mwanaume mnakutana wote mna meno 32,
ndo akutie wazimu, lol, huyo mama ni kabila gani.
lazima huyo mtoto walimtoa kama kafara,
chezea mtoto wewe,
hata angekuwa kama nini huo ushujaa utaupata wapi,
hao ni wacha wi mkuu.