Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,035
binafsi sioni mwanga wowote kwenye bifu la kudumu....
matarajio yangu ni watu kufurahia kumalizika kwa mtafaruku huu... !Kwa sababu tu hapa cloud's media kuna kitu wamejifunza tena kikubwa sana...na as from now watachange policy yao....
fidia ya maralia no more ni haki yake!..ni mradi wake jamani...!mnyonge mnyongeni...
matarajio yangu ni watu kufurahia kumalizika kwa mtafaruku huu... !Kwa sababu tu hapa cloud's media kuna kitu wamejifunza tena kikubwa sana...na as from now watachange policy yao....
fidia ya maralia no more ni haki yake!..ni mradi wake jamani...!mnyonge mnyongeni...