Ni muda gani mwanaume unatakiwa kumaliza kupanda mlima?

Mimi huchuku saa moja na nusu! Hapo kiburudisho wangu huachia mara mbili mpaka tatu, na tukimaliza mrembo hunishukuru huku akilia kwa furaha na mm huwambia asanteeeee!!
 
Mimi huchuku saa moja na nusu! Hapo kiburudisho wangu huachia mara mbili mpaka tatu, na tukimaliza mrembo hunishukuru huku akilia kwa furaha na mm huwambia asanteeeee!!

mh wanaume sampul i ..mafagio meng iv bas ujue NGOMA ATA KUINUKA AIINUK MPK UIBUST...io saa moja nannusu utakuwa umemeza diesel?
acha urongo bwanawewe bhaaaa!!!!!!
 
nilitegemea utasema wewe unataka dakika ngapi?
kuna mtu humu kaniambia saa nzima ndo anasikia safi..
wewe je?

ahhh mimi dk 25-30 zantosha
dk 15 matayarisho 15 kandanda nkitoka apo nacheza lizombe mwenge mpk posta mwepeeeeeeeeeeeeeeeessss:A S-baby:
 
Humu ndani mna vioja? Haya kupanda na kushuka milima haina limit ni uwezo wako tu. Unategemea wenye umri wa 60s atapata mlima kwe dk 45 kweli, sidhani.
 
Maliza mda ule ule mpenzi wako anapofika kileleni na yeye.
 
wakongwe walishatuambia tusidangaywe na avatar,
haya romance kama ndo wewe huyo basi hongera zako bibie..................................

mmmh!na hii signature yako, sijui ndo ubinafsi huo.............lol..
eti..............I love me and me only


huyoooooooo mrembo sio mimi usidanganywe... mmmmh! ajidaiiiii!!! mimi mrembooo haoni ndani kabisaaaaaaaa!!!! teh teh asante mwanya... why lie jamani I love me and me only
 
mh wanaume sampul i ..mafagio meng iv bas ujue NGOMA ATA KUINUKA AIINUK MPK UIBUST...io saa moja nannusu utakuwa umemeza diesel?
acha urongo bwanawewe bhaaaa!!!!!!

mwe,we ntonto,umejuaje haya yote bha.....................!!!!!
ntakuchapa weye, haya nenda kanawe miguu ,
upande kitandani ulale,kesho shule!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
mijianaume mirafi utaijua tu...km nakuona vile unataka kupigana na signature cz imekuzibia?
miss u!!!!!!


ndo tatizo lako,mwe...............
una wivu mbaya weye lol...
kuna siku utanitoa roho........................
 
Inategemea na kiburudisho chenyewe. Kama ni kitamu sana hata dakika mbili hufiki. Acha ubinafsi.mfikirie na mwenzio apaswa kukufaidi....lol........................
 
Naomba kuwakilisha swali langu kwenu ili nipate ufafanuzi,
Hivi ni muda upi mwanaume unatakiwa uwe umaliza kupanda mlima,kwa kuwa kuna msemo usemao ukimaliza kabla y dk fulani wewe si mzima?
je kuna ukweli wowote kuhusu hilo?

Inategemeana na mlima unaoupanda. Huwezi kulinganisha kupanda mlima Kilimanjaro na Meru. Pia milima mingine ina vilele zaidi ya kimoja. Kama Mlima Kilimnanjaro. Hivyo vilele vyenywe vinatofautiana. Vingine vimezidiana urefu. Vingine vimefunikwa na barafu, wakati vingine ni miamba tupu. Muda utakaoutumia kufika kileleni pia unategemea na njia utakayopita. Kwa mfano nasikia ni heri kupanda Mlima Kilimanjaro kupitia sijui njia ya Hai kuliko njia ya Marangu. Pia kumbuka kuna milima mingine kutokana na kuwa na volkeno hai, huwezi kupanda kabisa. Watalii huwa wanapendelea kutembelea milima mirefu zaidi kama Kilimanjaro. Lakini wapo watalii wengine wanaupanda mlima Kilimanjaro si kwa vile ni mrefu, bali pia kwa vile ni mlima wa ajabu ambao una vilele viwili, kimoja kikiwa kimefunikwa na barafu. Watalii wanastaajabika sana na hii barafu ukizingatia mlima wenyewe uko sehemu ya joto. Hata hivyo, kutokana na climate change, barafu inaelekea kuyeyuka, kitu ambacho kinaweza kupunguza idadi ya watalii.
 
Mi dk 0 wakati tu naanja ha2a ya kwanza y kupanda najikuta nimefika.
 
Dak 45 zinatosha chini ya hapo ujue una matatizo (hizo si kwa wale wanaotumia viagra). NAWASILISHA
ACHENI UPOTOSHAJI
Ndio maana baadhi ya wanaume wanajihisi kuwa nguvu zao za kiume hazitoshi, kumbe wako sawa kabisa
Mwanaume unahitaji kufika kwa uhalisia na hii inategemea mambo mengi ikiwemo wewe mwenyewe na mhusika wako pamoja na saikolojia zenu. Katika pitapita yangu kuna mtu nimewahi kumfunga goli la tatu ndani ya dakika chache (3 au 4) wakati kwa mwingine naweza hata kutumia hizo 45minutes
Mwanamke anach0hitaji ni yeye kufika tu (orgasm), na hii inategemea ufundi wako. Mimi wangu namfikisha within 2 to 3 minutes kulingana na jinsi nilivyomwandaa.
Kiufupi, it is subjective (ie it depends)
 
Back
Top Bottom