Chauro, ulivyojibu kwa ukali wakati sura yako haionyeshi ukali - haipendeziHayo maswali waulize wapanda milima.
Khaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!! nimepotea?????????? nishawezeshwaa kuingia kwa wakubwaaaaaaaaaaaa... mmmmmmmmh!
wakongwe walishatuambia tusidangaywe na avatar,
haya romance kama ndo wewe huyo basi hongera zako bibie..................................
mmmh!na hii signature yako, sijui ndo ubinafsi huo.............lol..
eti..............I love me and me only
you must b mad.Kwa kilimanjaro ni siku tatu kupanda .kushuka siku mbili jumla siku tano