Ni mtoto yupi mjinga zaidi ya mwenzake?

Shine

JF-Expert Member
Feb 5, 2011
11,481
1,364
[h=6]Wazee wawili walikuwa kwenye ubishi mkali kila moja akitetea kuwa mwanae ndie mtoto mjingakuliko wote duniani, ubishiukawa mkali mwishowe mzee mmoja akamwita mwanae, 'We ngeli njoo' , mwanae akaja mzee akamwambia,'Heb u nenda pale kazini kwangu kanicheki kama nipo, ikiwa utanikuta nambie nirudi nyumbani kuja kula sawa...?', mtoto akajibu sawa akaondoka mbio. Yule mzee wa pili nae akamwita mwanae 'Jelo njoo' mwanae akaja, 'Mwanangu chukua hizi noti mbili za alfualfu, hii alfu moja kaninunulie gari, hii nyingine kaninunulie Blackberry sawa?' Sawa baba' Mtoto akatimka. Njiani ile mitoto ikakutana wa kwanza akaanza 'Baba mjinga kweli eti kanituma nikamuangalie kama yuko kazini, si angepiga simu tu wangemwambia kama yuko au hayuko', wapili akajibu, 'Si heri ujinga wa babako, mimi babangu kanipa noti mbili nikamnunulie gari na simu, sasa eti wala hajanielekeza noti ipi ninunue gari na noti ipi ninunue simu kama si ujinga ni nini hicho![/h]
 
Back
Top Bottom