Ni msimu wa kalamu au kalamu za msimu (tofauti ya wahariri na uhariri)

TandaleOne

JF-Expert Member
Sep 4, 2010
1,644
709
MIMI NAWAZA NA SINA KITAKACHONIFANYA KUYAMALIZA MAWAZO HAYA MPAKA HAPO KESHO, NITAKAPOONA MAGAZETI YA KESHO YAMEANDIKA NINI KUHUSU MKUTANO WA CCM JANGWANI LAKINI KAMA NITATOKA KWENYE MAWAZO HAYA NA KUUVAA UTABIRI HATA KWA MUDA TUU.,UTABIRI HUO UTAKUWA KAMA IFUATAVYO KATIKA VICHWA VYA HABARI VYA MAGAZETI FULANI.

* Jangwani CCM yakosa watu.
* Magari ya kubebea watu yafurika jangwani.
*CCM yatumia Bilioni 40 mkutano wa jangwani.
* Gharama ya Mkutano wa CCM Jangwani, sawa na kujenga hospitali 8 za rufaa.

Na kama kwa namna yoyote ile wahariri wa siku zote hawatokuwepo, wakahariri wengine ambao ni reserve au wanabaniwa kwa kuwa wanaonekana ni wa mlengwa wa kati kwa kati,wataandika kama ifuatavyo;

* Lowasa afadhili mkutano wa CCM jangwani.
* Fedha za miradi ya barabara Magufuli azitumia kwa ajili ya mkutano Jangwani.
* Ng'ombe 300 wateketea kwa ajili ya kuandaa chakula cha wahudhuriaji wa Mkutano Jangwani.
* Hakuna mwananchi wa kawaida aliyehudhuria jangwani zaidi ya viongozi wa CCM na familia zao.

Namna hii TANZANIA DAIMA, MWANANCHI, MWANAHALISI yatasomeka..,niko TAYARI KUWEKA dau hata la Mke wangu niliyeoa kama utabiri wangu ukifeli.

Swali la msingi ni je huu ni MSIMU WA KALAMU kwamba kila mtu anaandika ama ni KALAMU ZA MSIMU kwamba watu wanaandika kulingana na upepo fulani..?

Ningependa Swali hili lijibiwe na wahariri na great thinkers ambao hawafikiri kwa jina la "meya"........naona hakuna mikono iliyonyooka kujibu swali langu..,anyway anyone can try...!

 
Ni matokeo ya kuanzishwa kwa vyombo vya habari kwa interest za kisiasa na kuajiri ukoo baada ya wataalamu. Kama wapo wanaofuatilia vyombo vyetu vya harabi bila ya shaka wanajiuliza mengi.

KIDOOOOOOOOGO wanaojitahidi kubalalnce ni TANZANIA DAIMA wao wataandika;
" NAPE AWATUKANA WAZANZIBAR, AWAITA MAJAMBAZI"
 
Hakika vichwa vya habari vya magazeti wiki hii kuhusu sakata la Kibanda limenifanya kukumbuka thread yangu hii...!
 
Vichwa vya jambo leo Kibanda atekwa na Nape,
Dr Ulimboka asindikizwa na Ridhiwani
Kikwete akata maji ya kuiroga nchi duh uhuru ndio kiboko
 
MIMI NAWAZA NA SINA KITAKACHONIFANYA KUYAMALIZA MAWAZO HAYA MPAKA HAPO KESHO, NITAKAPOONA MAGAZETI YA KESHO YAMEANDIKA NINI KUHUSU MKUTANO WA CCM JANGWANI LAKINI KAMA NITATOKA KWENYE MAWAZO HAYA NA KUUVAA UTABIRI HATA KWA MUDA TUU.,UTABIRI HUO UTAKUWA KAMA IFUATAVYO KATIKA VICHWA VYA HABARI VYA MAGAZETI FULANI.

* Jangwani CCM yakosa watu.
* Magari ya kubebea watu yafurika jangwani.
*CCM yatumia Bilioni 40 mkutano wa jangwani.
* Gharama ya Mkutano wa CCM Jangwani, sawa na kujenga hospitali 8 za rufaa.

Na kama kwa namna yoyote ile wahariri wa siku zote hawatokuwepo, wakahariri wengine ambao ni reserve au wanabaniwa kwa kuwa wanaonekana ni wa mlengwa wa kati kwa kati,wataandika kama ifuatavyo;

* Lowasa afadhili mkutano wa CCM jangwani.
* Fedha za miradi ya barabara Magufuli azitumia kwa ajili ya mkutano Jangwani.
* Ng'ombe 300 wateketea kwa ajili ya kuandaa chakula cha wahudhuriaji wa Mkutano Jangwani.
* Hakuna mwananchi wa kawaida aliyehudhuria jangwani zaidi ya viongozi wa CCM na familia zao.

Namna hii TANZANIA DAIMA, MWANANCHI, MWANAHALISI yatasomeka..,niko TAYARI KUWEKA dau hata la Mke wangu niliyeoa kama utabiri wangu ukifeli.

Swali la msingi ni je huu ni MSIMU WA KALAMU kwamba kila mtu anaandika ama ni KALAMU ZA MSIMU kwamba watu wanaandika kulingana na upepo fulani..?

Ningependa Swali hili lijibiwe na wahariri na great thinkers ambao hawafikiri kwa jina la "meya"........naona hakuna mikono iliyonyooka kujibu swali langu..,anyway anyone can try...!

In short unachosema the media is not trustworthy and our writers are purely political and their views are based on party affiliations. Then why dont you bother with presenting the facts if your concerns are misrepresention.
 
In short unachosema the media is not trustworthy and our writers are purely political and their views are based on party affiliations. Then why dont you bother with presenting the facts if your concerns are misrepresention.
We now live in a nation where doctors destroy health.
Lawyers destroy justice..,
Universities destroy knowledge..,
Government destroy freedom..,
the press destroys information..,
Religion destroys morals..,

Kimsingi kuna matatizo makubwa katika taaluma hii ya habari.,matatizo ambayo sasa yamekuwa universal.,hiyo hapo juu ni quote ya Chris Hedges wa America.,lakini maneno hayo ni sahihi pia katika Africa, Tanzania ikiwemo. Our medias are both political affiliated and cash driven editorials. Ni hatari sana kuishi katika jamii ambayo watu wake ambao wanaaminika katika jambo wanapoamua kuvunja imani hiyo na kutumia vyombo vya habari kujisafisha.
 
Back
Top Bottom