UMENIWAH AISEE, huyu mnyama ni kiazi kwelikweliNyumbu
Lets Nature takes its own cause!jamani ninapoangalia documentaries za wanyama mbugani na kuona jinsi simba na chui wanavyowanyanyasa wanyama wenzao, ni mnyama gani wewe unajua ni mzembe katika kuwindwa na simba na chui
Binadamu... we ngoja siku watakapoonyesha jinsi anavyokamatwa na simba utakavuoona alivyo mzembe
Mnyama yeyote mwenye akili timamu alafu anayependa kitu chenye alama ya nyundo na jembe!!jamani ninapoangalia documentaries za wanyama mbugani na kuona jinsi simba na chui wanavyowanyanyasa wanyama wenzao, ni mnyama gani wewe unajua ni mzembe katika kuwindwa na simba na chui
Binadamu... we ngoja siku watakapoonyesha jinsi anavyokamatwa na simba utakavuoona alivyo mzembe
Mnyama yeyote mwenye akili timamu alafu anayependa kitu chenye alama ya nyundo na jembe!!
uchokozi wa ngumi huo!hivi kuna mnyama mzembe zaidi ya malaria sugu wa jf? Huyu yeye hakimbii shida kabisa, hukaa tu chini na kuanza manung'uniko. Hata mvua ikianza kunyesha ananung'unika badala ya kujikinga
mtu akikutukana kua wewe ni nyumbu,pigana,Nyumbu