sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Nakushauri urudi darasani ukasome. Muda ukifika utafanya mapenzi mpaka ukinai.
Nadhani sijaenda kinyume na angalizo lako kwenye red hapo!
Mitoto ya siku hizi bwana........ Khaaaa!!
Hahahaha yaani huo ndio ushauri wako kwa leo? Khaaa!