Lukolo JF-Expert Member Dec 2, 2009 5,143 3,196 Mar 9, 2011 #21 Iringa nayo imo mkuu. But nafikiri mjadala usiwe kuangusha serikali, bali kuihamasisha serikali ili itekeleze wajibu wake.
Iringa nayo imo mkuu. But nafikiri mjadala usiwe kuangusha serikali, bali kuihamasisha serikali ili itekeleze wajibu wake.
Washawasha JF-Expert Member Aug 7, 2006 16,638 13,052 Mar 9, 2011 #22 mapinduzi yataongozwa na nani?kama hayana kiongozi hatuyataki na kama yana kiongozi ni nani na kwann anataka mapinduzi?
mapinduzi yataongozwa na nani?kama hayana kiongozi hatuyataki na kama yana kiongozi ni nani na kwann anataka mapinduzi?