CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
me kwetu kuna mbwa 1 ni mweusi tii ana manyoya mengi anaitwa Cenna. basi nkienda late nyumbani nikakuta ashafunguliwa, ile naingia atakimbia mbele then atarudi nyuma yangu ataning'atang'ata miguuni kisa tu nimshike kichwani ndo atulie. yan full burudan. kingne hawez kujisaidia ndan ya banda lake hata cku 1.atalia sana mpk mtafungua banda then atakwenda mahali anapokwenda kila mara atajisaidia ksha atarud bandani. ni msafi!