Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,808
- 59,317
we lizzy, usidanganye watoto wanaopita hapa jamvini! mbona kuna wanaotumiwa kwa kuwa tu wameshindwa kusema no mbele ya watu amabao hata hawawajui majina. hujui mwanaume anaweza kuwa na idadi yoyote ya wanawake kadiri ya mahitaji yake? mwanamke uwezo huo atautoa wapi?
anyway, mkulu alisema ili ule nawe lazima nawe uliwe, so, na wewe umesimamia kanuni hii? mambo ya wakwere waachie wenyewe bwana we hutayaweza!
Habari ndo hiyo....kumtumia mwenzio sio vizuri ila kutumiana ruksa!!!