Ni miaka 17 tuuu!

JF eeeeeeeeee. Kuna watu hawajui hata hii kitu inatumiwa vipi! Husninyo huyu binti ni mzuri bana! Yaani akipita hata wewe unageuka! Ametu-discourage sana. Jamaa yangu siku za karibuni La Liga alikuwa hakosi bana. Kisa mama anataka kwenda club. Ha ha haaaaaaaaaaa kweli kupenda!

mmh! Amsubirie japo 5 yrs, binti awe na 22 njemba 40. Mmh! Kababu na kajukuu. Lol!
 
Jamani msaada
Jamaa yangu juzijuzi tu hapa kanambia kuwa kapata mchumba. Tulikuwa na ugomvi aoe maana yuko 35 sasa! Basi juzi tu akanambia kuwa kampata mwenza na anataka mipango iende fasta na aoe ikiwezekana this year. Basi bibiye naye kapenda tukaitwa tukaonyeshwa. Tukaona binti mzuri kwa kweli (kwa sura lakini maana tabia hatujui). Jamaa kapata bana! Toto mashallah kakamilika idara zote bana. Sasa juzi jamaa anataka kwenda kujitosa kwa wazazi akaja kwetu. Dodosa kumbe binti na mwili wake woote dah miaka 17 bana!
Mimi nilimuuliza ushampeleka chumbani kwako? Jamaa akanambia tayari na kila kitu safi ushirikiano wa kutosha. Nikamwambia sasa PINGU zinafuata! Ni bora aachane naye! Kaelewa akaanza excuse za hapa na pale! Mtoto kasema kama hatomwoa atamsemea kuwa alimwita akamskumizia chumbani akambaka na mbaya sms zote za kimapenzi alozokuwa anamwandikia ataonyesha maana hajazifuta kwenye simu yake. Jamaa anapanga kuishia zake mkoa mwingine. Nimsaidieje?
Nawasilisha
asiogope-yeye aoe tu-mimi kuna ndugu yangu wa 1970 ameoa binti wa 1992- so kwa huyo anaweza kuoa tu bila tatizo lolote
 
mnh fataki tu huyo.....usimpe kivuli kisa ndugu yako,angekuwa huyo msichana ni binti yako je?
 
Kama si mwanafunzi mbona inaruhusiwa kuoa kisheria. Ila nina wasiwasi hamna penzi hapo ni tamaa tu, na binti atakuwa alikuwa amemg'ang'ania jamaa. Iweje mpaka ufikie kuoa mtu hujamuuliza umri wake mpaka nduguzo wakuulizie?

Huyo binti kama hata fee ya shule ilikuwa issue basi hata yeye hamna cha penzi hapo, ni hali ngumu ya maisha ya kwao. Wamekutana matapeli wa mapenzi wawili!
 
kwa mtu wa 35 kuoa 17 yrs ni matatizo hayo(more than twice yunger).
Ni challenges gani wataongea ndani?...na kwanini huyo mtoto amekimbia shule?
Ina maana jamaa hadi anavutia chumbani alikuwa hana mawasiliano naye, hadi ANAKUJA kufahamu kama surprise?
Sasa na we mkuu wangu Eeka, ulishindwa kumgundua huyo binti kuwa ni kinda?...maongezi yake hukuyastukia?
Jamaa akikimbia mkuu unadakwa weye hadi uweke sawa mambo!
Mshauri amwite mahali amwambia kiuwazi kuwa ni kinyume cha sheria kuoa mtoto wa 17 , mtafungwa bure!...Kama huyo mtoto hatoelewa ni moja ya kipimo cha utoto, basi jamaa akimbie hapo!

Jimmy tatizo liko wapi?
Osama alimwoa mke wake mdogo wakti huyo bint wa kiyemen akiwa 18 na Osama 42!
Iko mifano mingine mingi tu
 
mimi hapa bado sijaelewa core issue. Kisheria kwa kadri ya sheria ya ndoa tanzania wanaruhusiwa kuoana. Kimaadili 35 na 17 is too much a gap lakini bado jamii na dini inaruhusu watu hawa kuoana. Niseme hivi mwanamke wa miaka 17 ana maturity tosha kabisa.....kazi kwao
 
kwa mtu wa 35 kuoa 17 yrs ni matatizo hayo(more than twice yunger).
Ni challenges gani wataongea ndani?...na kwanini huyo mtoto amekimbia shule?
Ina maana jamaa hadi anavutia chumbani alikuwa hana mawasiliano naye, hadi ANAKUJA kufahamu kama surprise?
Sasa na we mkuu wangu Eeka, ulishindwa kumgundua huyo binti kuwa ni kinda?...maongezi yake hukuyastukia?
Jamaa akikimbia mkuu unadakwa weye hadi uweke sawa mambo!
Mshauri amwite mahali amwambia kiuwazi kuwa ni kinyume cha sheria kuoa mtoto wa 17 , mtafungwa bure!...Kama huyo mtoto hatoelewa ni moja ya kipimo cha utoto, basi jamaa akimbie hapo!

Jamaa kapiga mzigo kachoka ndo anajidai kadogo, hakuna muoaji hapo.
 
Aombe uchumba alafu wasubirie mwakani au hata minne mitano mbeleni kufunga ndoa kama tatizo ni miaka tu!‘!Maana kama anampenda kweli sidhani kama hilo litashindikana!!

Ila kama nia yake ilikua kumchezea mtoto wa watu aachane nae!!Aanze kwa kuhakikisha mahusiano ya chumbani anasitisha asap....alafu avumilie muda kidogo upite ahakikishe binti
hajaambulia ujauzito kama walikua
haazingatii kinga.Baada ya hapo aanze vimbwanga vya hapa na pale ili binti ndo amuache yeye kumuepushia mtoto wa watu maumivu kwa kiasi flani!!

Next time asiingie tu kichwa kichwa....atanyea debe!!!

Lizzy kwani baada ya miaka mitano jamaa atakua 4t kumbuka bado anasubiriaga tu mh yataka moyo.
 
Mhh tatizo ndo ilo la kumlazimisha kuoa asinge fanya right decision yoyote so ilo ndo lilikuwa lakutegemea.
 
si avute subira hadi atimize miaka 18? yeye si ndo muoaji? kwa taratibu za waafrica mwanaume si ndo anapanga ndoa lini? all in all hilo la skuli mmmmh ina maana dogo kaishia la saba?
 
Avute subira ili aje kupata heri, 3 years inatosha jamaa kupata mwenza. Siku zote watu wachelewao kuoa huwa wanasumbua, wanamatatizo na sio watu makini!
 
Jamani msaada
Jamaa yangu juzijuzi tu hapa kanambia kuwa kapata mchumba. Tulikuwa na ugomvi aoe maana yuko 35 sasa! Basi juzi tu akanambia kuwa kampata mwenza na anataka mipango iende fasta na aoe ikiwezekana this year. Basi bibiye naye kapenda tukaitwa tukaonyeshwa. Tukaona binti mzuri kwa kweli (kwa sura lakini maana tabia hatujui). Jamaa kapata bana! Toto mashallah kakamilika idara zote bana. Sasa juzi jamaa anataka kwenda kujitosa kwa wazazi akaja kwetu. Dodosa kumbe binti na mwili wake woote dah miaka 17 bana!
Mimi nilimuuliza ushampeleka chumbani kwako? Jamaa akanambia tayari na kila kitu safi ushirikiano wa kutosha. Nikamwambia sasa PINGU zinafuata! Ni bora aachane naye! Kaelewa akaanza excuse za hapa na pale! Mtoto kasema kama hatomwoa atamsemea kuwa alimwita akamskumizia chumbani akambaka na mbaya sms zote za kimapenzi alozokuwa anamwandikia ataonyesha maana hajazifuta kwenye simu yake. Jamaa anapanga kuishia zake mkoa mwingine. Nimsaidieje?
Nawasilisha



Miaka hii mabinti wanavyokua haraka... kweli unaweza usijue hata age.... Kuna wadogo wengine wamezaliwa umembeba na mgongoni but akikukuta hasa in the company of guys... badala ya shikamoo Da Asha D. inakua mambo dada... tabasamu mpaka mwisho (na ni mzuri, umbile kubwa... unabaki kutikisa tu kichwa)

En ways huyo kaka kaishi 35 years hajaona mwanamke wa kuoa.... sijui problem yake kubwa ni nini, but I think he is not comfortable in the company of women especially matured, inawezekana anataka saana mwanamke wa kumtegemea na sumsikiliza kila kitu and any man can get than in a teenage girl... Msipo angalia anaweza asioe kabisa..
 
Amsome tu anaweza kuwa mdogo kwa umri ila ana mawazo ya kikubwa na mnaweza kuwa familia nzuri tu, mchunguze kwa kina then fanya maamuzi.na aking'ang'ania mkalishe chini ukiwa na watu wazima umweleze unavojisikia
 
Huyo jamaa asilete visingizio hapa, uzembe wake na kutokuwa makini ndo kumemponza coz haiwezekani ukimbilie conjugal alafu umchakachue binti wa watu then umuache kwa kisingizio cha umri? why hakuuliza kwanza kabla hajafanya yote hayo? Kwa sababu alipaswa kujua mapema! Aoe au amsubirie umri uongezeke hamna kuacha, kama aliona umbo ni kubwa basi na akili aione hivyooo hivyooo!! Inaudhi sana...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom