pamoja na kusoma kwangu phyics&mathematics mpaka chuo kikuu sijawahi kukutana na theorem yoyote ya huyu mtu,labda huko kwenye hesabu za madrasa.
Degree is not a skill.hivi umewahi kusoma encyclopaedia ya physics usilione jinahilo?au ndio degree za kukariri hand out.hamsomi mpaka kuwe na mitihani??.am glad idid not go to the schools that you went.jaribu google hilo jina ujionee mambo.