FredKavishe
JF-Expert Member
- Dec 4, 2010
- 1,090
- 318
Kuna rafiki yangu ni kama mdogo wangu kuna kademu anamzia toka kitambo'urafiki wao ulikuwa wa kawaida 2'baada ya wote kumalza form 4'dogo akawa anapga misele kwa demu mara apeleke kadi'na mambo mengne'ikafka kipnd wakawa close mara watoke 4 lunch'urafiki ukaenda ikifika kpnd dogo akamuomba demu date ya nght demu akubal ilikuwa kugo miss tz'cku ya cku ilipofika dogo akapata vishawishi kutoka kwa rafiki zake akaamu kutotoka nae demu hyo nght'demu ilimuuma sana ikifikia kpnd akumuandikia msg asimuombee tena outgoing'na hyo siku hatakaa aisahau maishani'bidae wakaja kupotezeana lakn baada ya muda urafik ukarud tena dogo anataka kuweka mstake zake sawa demu akasepa kwenda nje bdo wanawasiliana'jaman anaomba ushairi amsubirie aje kumuambia o ampotezee