sikiolakufa
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 411
- 54
wakuu mimi nilinunua toyota cresta juzi nilisafiri nayo kwenda moshi, ina kimbia sana sana....ila chakushangaza mbona kila nikitaka kuipita land cruiser iliyokuwa mbele yangu nilikuwa nashindwa? Je nilipaswa kuweka gia namba 2..? Mbona gia hiyo nilivyoiweka gari ilibadilisha mlio na ikalia mlio wa hatari halafu ikawa nzito sana...je ile landcruiser ina speed kubwa kuliko gari yangu cresta gx 100 kwa kweli naomba ufafanuzi maana roho inauma sana mwenye landcruiser aliniacha nikaja kutana nae mombo tayari amemaliza kula nyama choma