Du!Hehee bidhaa imelegea haina tena mvuto...
View attachment 66604
ni ule usumbufu anaoupata kutoka kwa mabinti.....?
je ni msaada wa kisaikolojia anahitaji....?
amechoshwa na maisha ya mjini....?
au ni nini kinaweza kuwa kinamsumbua.....?
weeee.....Mbezi naenda......kwani ni uongo ulikuwa huuzi........?