Dada calde - zamani wakati ninachat kule darhotwire kuja kijana alikuwa anaitwa books alikuwa yuko nchini uingereza sasa alienda kwa kuzamia huko sasa akakutana na jimama cb wa znz akamuomba uchumba mara wakakubaliana kufunga ndoa huyo cb alikuwa ni mtoto wa kidogo kwahiyo kutokana na ukigogo wake akamfanyia mipango books akapata pasi bandia akaweza kurudi nchini na kufunga ndoa na huyo dada cb
baada ya ndoa -- books akakataa kuendelea na jimama alichokuwa anataka yaani kurudi nchini alishapata na ameshafika nchni alichochuma majuu sasa anakiendeleza anaduka maarufu pale millenium towers
kwahiyo wakina dada na wakina kaka jifunzeni sana mambo haya haswa hawa wanaojifanya wanataka wake na waume kwa njia ya mtandao wengi wanakuwa na vitu wameficha nyuma ya panzia
hahahaha mbona mkali........'Dada calde'
Shy,how comes una ni address kama 'dada',Are you sure mimi ni dada?Do you want me to start both criminal and civil case?For sure this is Crime against humanity!
'Dada calde'
Shy,how comes una ni address kama 'dada',Are you sure mimi ni dada?Do you want me to start both criminal and civil case?For sure this is Crime against humanity!
hahahaha mbona mkali........