Mchaka Mchaka
JF-Expert Member
- Jul 20, 2010
- 4,516
- 1,404
msomi kutoka chuo kikuu cha dsm dk benson bana amesema ni makosa makubwa serikali kuongozwa kwa mashinikizo.dk bana alikuwa akirejea shinikizo la kuwawajibisha mawaziri mafisadi na wazembe lililotolewa na bunge katika kikao kilichoisha jumatatu wiki hii.dk bana ameonyesha kukerwa na kitendo hicho kwani ni kutaka kuyumbisha serikali.
source:uhuru jumatano
hiyo source inatia kinyaa!!