Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,301
- 4,681
sehemu mbali mbali hapa Tanzania nimekuta tangazo ''TUNAUZA MAFUTA YA TAA''.
Unapoandika unauza mafuta ya Taa inamaana Taa ndio imetoa ama kuzalisha mafuta yale.
Ni kama vile unapokuta mahali pameandikwa ''TUNAUZA MAZIWA YA NG'OMBE'', hapo wanamaanisha kuwa maziwa hayo yametoka kwa Ng'ombe.
Neno sahihi hapo ni ''TUNAUZA MAFUTA TAA''.
So ukikuta mahali pameandikwa hivyo basi mtafute muhusika kisha mnase vibao.
Akikupeleka polisi nitafute.
Unapoandika unauza mafuta ya Taa inamaana Taa ndio imetoa ama kuzalisha mafuta yale.
Ni kama vile unapokuta mahali pameandikwa ''TUNAUZA MAZIWA YA NG'OMBE'', hapo wanamaanisha kuwa maziwa hayo yametoka kwa Ng'ombe.
Neno sahihi hapo ni ''TUNAUZA MAFUTA TAA''.
So ukikuta mahali pameandikwa hivyo basi mtafute muhusika kisha mnase vibao.
Akikupeleka polisi nitafute.