ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,772
- 6,555
Last edited by a moderator:
hebu tupia neno zito humu la kiswahi...utajua kama Fang ni mmatumbi au mzaramo...
Kongosho bana...
na analitendea haki jina lake.
mtotowamjini nataka amtest kwa kuandika uozo,:biggrin1::biggrin1: Umenivunja mbavu, huyu jamaa atakua mkenya maana wanajuaga kusoma kiswa lakini hawawezi kuandika...inabidi kue na shindano humu ndani la kusema FANG ni mtu wa wapi na mshindi yeye mwenyewe amtaje :happy:
Me napenda majina ya Kongosho,
Mtambuzi,
Roulete,
Gfsowin kama cjakosea,
Ashadii,
Kaunga,
sweetlady,
smile,
Utasutwa na dera la orenji skin tait ya zambarau
dahhh nimecheeeeeka sana aisee...............