Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,800
- 59,267
Asante B!Happy new year to you too dear!Mzima lakini?I miss you Lizzy!
Happy new year dear!
Asante B!Happy new year to you too dear!Mzima lakini?I miss you Lizzy!
Happy new year dear!
Shiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii... Usimwage..........
Endelea tu mimi nakuangalia
Sio vizuri...ndo mwanzo wa kuanza kufikiria itampendeza vipi...mwishowe anataka kuiona mwenyewe!!Hiyo iwe kazi ya mama...au ikibidi sana baba anaweza kumpeleka dukani akakaa pembeni wakati binti ananunua!
Kwani mama hawezi kumfikiria mwanawe wa kiume? Au na mama haifai kumnunulia mtoto wake wa kiume chupi?
Huyo mama hana haja ya kumfikiria maana tayari anamjua fika...sindo wanaolea bwana!Nwyz katika kesi za wazazi wanaotembea na watoto wao wababa ndo wanaongoza...sasa hapo changanya na zako!