Ni lini tutaheshimu kazi za wengine?

Tukubali tu kuwa the fear of potential piracy inamfanya mwenye nia ya ku'invest muda na pesa kudevelop software katika market ambayo imekubalika kuwa piracy is order of the day.
Katika kulinda intellectual property ya software kuna break even point ambayo developer atakuwa ameifanyia kazi kuwa, akiweza kuuza software say for 35% of target copies atakuwa ame'recover costs za kuitengeneza... atapigia hesabu ya loss of around 15-20% na hizo asilimia zingine zitakuwa kwenye kueneza soko na profit margins. Cha muhimu ni hiyo profit margin ambayo itamtoa na kuweza kuendeleza hiyo software na ideas zingine ambazo atakuwa nazo au ataweza kuzinunua hapo baadae. Kama hesabu zetu ni kuwa kama developer utaambulia patupu basi hizi ideas zinaishia kuwa ndoto to the developer and ndoto zaidi to the potential clients.

Kuongelea serikali na wizara naona tunadanganyana, unless kwa Bongo, due dilligence za software companies hazifanyiki. Mnunuzi (serikari/Wizara/Taasisi) watahitaji kuona kuwa huyu developer (company) ina uwezo wa kuwepo (time) kuisupport hiyo software yao na hapo inamaanisha a lone developer sijui atapata wapi hiyo credibility of time/money kuonyesha kuwa atakuwepo (in terms of experience ya staff wake) kuweza kuiendeleza na kui'support hiyo software in the many years to come.

Mfano: Ume'develop some accounting application. Cost/List price 50Mil. Ndio hiyo ni pesa nyingi lakini, if you have a number of employees/colleagues na other costs, that money can only last a few years/months before it runs out. The client atakuwa anategemea kuitumia software for say the next 10 years... Je utaweza? Ndio labda kutakuwa na annual support contract ambayo italipiwa lakini sidhani kama itakuwa at the same cost price ya mwanzoni hence longevity ya hiyo kampuni/developer itakuwa na ulakini.
Kwa hiyo tusi'under estimate umuhimu wa consumer mmoja mmoja katika marketing and development strategies kwani humo kama software itaweza kuwa protected ndipo kwenye pesa (longevity) ya idea.
 
Kwa hiyo tusi'under estimate umuhimu wa consumer mmoja mmoja katika marketing and development strategies kwani humo kama software itaweza kuwa protected ndipo kwenye pesa (longevity) ya idea.

kotinkarwak

Sio ku understate conusmer moja mmoja lakini huo ni ukweli hata kusungekwa na piracy basi sofware marekt ya Tanzania huwezi kufaniiwa kwa kutegemea mtu mmoja mmoja. Lakini sio kwamba nateta piracy kiais hicho ila kuna probem ambayo developer na ket stake hoders wengine ( Governmaent) wanai underestimate amabyo bila hiyo hakuwezi kuwa na mabadiliko hata kama Tanzania itakuwa ni zero piracy country.

Kwanza ni product gani hiyo ambayo utategeneza
  • isiyo kuwa na free na isiyo na competitor tayari.?
  • Yenye cost ambayo ukiuza kwa wenye uwezo wote basi utafaidika na itauzika kwa prospsectd customer
Ndio hapo linapokuja suala la serikali kubeba . Na tunapoogea sofware za kitanznaia mimi naonglea hata simple program za few lines of codes . Ukisoma antivirus kama za karpesky zilivyoanza lazima kuna mkono wa serikali au insntitution kama vyuo kussuport mwanzoni. So kwangu kama kuna developer success ya product yake inategema mtu mmoja mmoja then kilio itauwa ni piracy lakini kilio cha ukwelii itakuwa alifanya WRONG project planning na WRONG requirement analysis

Mimi japo sio software developer nimesoma soma vitabu na viinasema most sofwre program zaia fail sababu ya zile stage za mwazo. Requirement. Na hii requrement inabbeba mambo mengi requirement ya market, cutomer, ushindani

Let say developer katengenezaa appiction kama ya Antivirus. je atalaumu bidhaa yake ikikosa wateja kwa sababu watu wengi wamjumbani wanatumia prated na free product au sababu ya msingi inaweza kuwa alaumu serikali na mashirika makubwa kutojaribu kuinua ubunifu wa ndani. Je hiyo Application ataiuza shilingi ngapi.

Mi naona trend ya software development imekuwa competetive. Tuikaa kulaumu Piracy kuna watu na develper wanatgeneza CMS kama Joomla na worpress Moodle kwa free lakini wanafaidika financialy. Wanatumia model gani?

Possibly waliona( requimrent na marekt analysi) risk ya piracy so wakaoaamua kufanya ziwe free iii huo ufree iwe opprtunity au haki kwao kupata fund za serikali mashirika na hata donation za mtummoa mmoja. Within hizo Free CSM kuna addon extensios amabzo ni za kulipia.

Sasa mfano ukianzisha commericial CMS sofware Tanzania na bado ukategemeaa mtu mmoja moja au kampuni ndogo ndogo nadhani unakuwa hauna strategy sahihi. It will fail

Tutashia kusema watanzania tunapenda vitu vya bure. But the probem ni kustudy requiremnt vizuri kujua ni model gani uilete produt yako nani stakeholder gani uwe nao onboard na kupata support yao.

Facebook ilipata sucess sababu mwazo wake PR yake ilihusiwha na chuo(HAVARD). Inawzekana kulikuwana watu wana vitu na iea kama hizo mtaani lakini hawakuwa na stakeholders sahihi kuweza ku take off project zao atika nguzu ya uwawezesha kupaa. So sucess ya sofware yeyote inabidi japo itafute PR ya pubic institution walau moja.

NB
Jamani sio kwamba natetea piracy kiasi hicho lakini tujaribu kuchei challnge na weakness kwa devloper, stake holders na propspeccted cusomer . Wote tuwacahambue na tutafute hasa nani ni kikwazo kikubwa.
kwangu bado naona customer na Piracy ni vitu vya mwisho kabisa. Tatizo lipo kwa developer na ther stakeholders.
 
Huwezi kuchukua model ya CMS unazozisema katika soko la ushindani la bongo (ushindani wa wewe kama developer na wenye nazo).
Joomla, moodle na wengineo ni cummulative effort ya watu wengi, wengi wao wakiwa ni watu wa mishahara na kujumuika kwao kweney effort ya hizi projects ni kwa kujituma, kunoa makucha yao katika field hizo zinazotumika. Humo humo kwenye huu mfumo wa kujituma, kuna wengine ambao wana malengo ya kutengeneza pesa, kwa kutengeneza add-ons zinazotumika kwenye product husika na pengine ku'share profits na the overall project itself. Kwa hivyo kuna dynamics tofauti sana kwenye model hii unayoisema.
Mfano, Blender Foundation, nadhani wanaoisimamia blender 3D wao wanafanya biashara, na kuiuza blender (ideas and techniques) ndipo wanapata funds kuendeleza project yao. Ndio blender will remain free, lakini kuna strategies kama course materials, books videos na knowledge share ambayo wanafanya kuendeleza software platform yao.
Kwa bongo, sijui nani atakuwa partner wako ambaye atakupa hiyo capital (monetary/ facility/staff) to develop an idea, give it away for free and hopefully gain some return down the line. Kumbuka, bado tupo kwenye mfumo wa financial aid kwenye mambo mengi tunayoyafanya.... Hatujafikia level ya sisi wenyewe kuwa "offers" of aid...

Mimi bado naona kikwazo cha hii sector bado ni kutokuwepo na uhakika wa returns on investment.
1). Piracy is endemic.
Enough said!
2). Respect of time.
Hiki kipengele bado hatujakigusia kwenyehii thread but here goes...
Msukumo wa ICT unaendana sambamba na kuheshimu time. Unadevelop a solution to speed up some process/task. You aim to gain time by reducing the overall time it takes for the process. Je katika shuguli zetu, do we respect this aspect? Au bado tunakubali kuwa it will be done tomorrow. Unaenda Benki au taasisi fulani wanakwambia, computers are down, Kila leo computers are down... Sasa, kweli hizi softwares na infrastractures ambazo zinahitajoka zipo sawa?
You can't develop software (meaning time saving lines of code) for a region that is happy to evolve at a snails pace...
You don't have to be a genious to note that power shortages over several months can't milaculously turn into a positive, and in some cases double digit GDP growth... What were you producing that didn't need energy?

3). Deemed Value.
The cummulative value of Joomla if it were monetised would be around about the value of Dreamweaver, Zend and the like. Lakini, are we making use of that power, to mean, what this fine product has been written for with tonnes of addons je' beyond blog sites are we developing real CMS's for the ideas we have?

One argument on piracy that trully rubs me the wrong way is that we can't afford the service. Believe me, the human psyche thrives of rewards. You reward the self from an endevour that has cost you. You spend a resource (money/time), and from that expenditure, whatever was bought holds more meaning since, the self will want to derive as much benefit from the said thing as possible. You pick up a copy of whatever the item maybe, but there will be a disconnect from the need/desire and the want. You can accumulate hundreds of copies of say books, software that was not "bought" and that will simply gather dust, never to be fully used become there is no connection of the want/desire/need.

4). Strategy rule.
Oracle wamemnunua MySQL na kuhakikisha kuwa, MySQL will remain free. Will be developed and so on and so on... Lakini lengo lao ni kuuza support contracts to these companies punde wanapotaka kuendeleza biashara zao. Biashara nyingi ni lazima wawe na mikataba ya "service levels" na hapo basi, ina wabidi kulipa for the "free" service down the line. Hiyo strategy ya free-cum-service charge ndio inatumika na wengi wa hizi "free" products.
Kwetu hii inaweza kufanya kazi endapo, the "service" value peke yake mtega ataona umuhimu wake. Back to our value of time, sijui... kwani, I am happy to re-install my whole machine, hata kama itanichukua three days to recover the system, na sio kuwa na service ambayo itanikahikishia kuwa within a short time, I will be up and running again...

Finally,
Sidhani kama hawapo hao developers wanaoelewa haya mambo, na huenda, piracy inawakwaza zaidi kwa sababu comparatively, it is more likely than not. the software will be pirated. All the other displines in the process fo software development will mean nowt in light of this fear...
 
Kwa bongo, sijui nani atakuwa partner wako ambaye atakupa hiyo capital (monetary/ facility/staff) to develop an idea, give it away for free and hopefully gain some return down the line. Kumbuka, bado tupo kwenye mfumo wa financial aid kwenye mambo mengi tunayoyafanya.... Hatujafikia level ya sisi wenyewe kuwa "offers" of aid...

Tanznaia kuwa nchi inayotegema aid siyo sababu. kwani angalia kwenye tume ya sayansi na Tenljia
  • Ni proect gani ziko kweny pipeine yao?
  • Zina faida gani
  • Zilipatikana vipi mpaka wachague kuwa wtaafund IT project A na sio B na C.
Every year wanafuszi wanmaliza chuo. Kwa nini hatusikii Best project proposal yeye manufaa kwa jamii ya kitanzania inakuwa funded kuw real ? Do we accept haliwezekanai sababu tunategemea aid. No kwangu ni mfumo mbovu wa key stakehoder amabaye ni serikali na hata taassi nyingine kutambua viapji na ubunifu.

Kama kuna bongo star search anayapatikana mapaka anagharimiwa kutengeza rekodi kwa nini wizara ya syansi isifanye japo Best IT project idea kila baada ya miaka japo miwli na kuifund.

Ukindoa wanafuzni kulikuwa kunatakiwa kuwe na some sort of ya kufanya evalution ya IT project after every two year kutoka kwa propsal za freelance.project nzuri inakuwa funded hata kama stake hoder muhusika hana uwezo anasaidia kuitafutia fund. Hata kama tunategema misaada hil haishindikani. Ni kwaba hauna NIA

Mimi bado naona kikwazo cha hii sector bado ni kutokuwepo na uhakika wa returns on investment.
1). Piracy is endemic.
2). Respect of time.

No mimi naomba nikatae. Nitatoa simple project tuliyajribu kufanya hapa ikashindwa. Produc tuliyotaa kuevelo sio mpya. Lakini naamin tuikuwa na strategy sahii amabo haikuwa business oriented. Strategy iikuwa ni accecsibiity mulima w alushoto aweze kujua au kutafuta taarifa za muuza matuda wa kkoo na vice versa. Acessbility amabpo mkazo wa kinndni akiziiwa ghafa anaweza uomba ushauri wka Dk fulani kwa simu. . So ROI inaytakiwa kungaia sio ile ya kizamani ya hard money chap chap.

Binafsi naamin as a group ile project ingekamilika ilikuwa rahisi zaidi kupata fund na hata ROI ingekuwepo lakini sio ile ROI wanayotogema watu wengi. May be ndio maana ilifail wtu waidhani wanafanya kazi ya kanisa. Wich is not bad too but it was not like that.

Ningeendelea na ile poject mwenyewe lakini muda na kuwa na group of people iliuwa inaweka uzito zaidi na hata ingefika wakati wa kwaandiika UNESCO, na seriali, etc wangeona aibu kuchomoa.

So Mimi naona one project can fail sbabau ya too much busiess model apprach na on the other side the same kind of prject can be sucess sababu ya kuifanya service orinted approach lakini pamoja na Kuwa iikuwa ni just free sericce ndani yake kuna ROI nzuri tena bila jasho.

kwa mfano wa simple project yetu tatizo lilikuwa Ni sisi deveoper wenyewe na may be Lakini hatuwezi kuthibithisha hatukupata ushiriiano wa key stakehoder. sabau hatukufika huko. Lakini ukiangai wengi wanaojaribu kuanzisha hizi directory services wanakuwa too much financial ROI orinted . Matokeo yake wana achive something but not much. Matke yake unakwnda kwenye yelow page yaTanzania hakuna contac za wizara, Hakuna contact za Polisi mikoani, Hakuna Contact wa shule au madakatari. Hakuna conatc za mkulima wa matunda lushoto.

Nimesoma na ninasoma soma vitabu vya sofware development hata latest sijaona kama Piracy ni tatizo. Au Hii piracy ni tatizo kwa Tanzania Pekee.


Hiki kipengele bado hatujakigusia kwenyehii thread but here goes...
Msukumo wa ICT unaendana sambamba na kuheshimu time. Unadevelop a solution to speed up some process/task. You aim to gain time by reducing the overall time it takes for the process. Je katika shuguli zetu, do we respect this aspect? Au bado tunakubali kuwa it will be done tomorrow. Unaenda Benki au taasisi fulani wanakwambia, computers are down, Kila leo computers are down... Sasa, kweli hizi softwares na infrastractures ambazo zinahitajoka zipo sawa?
You can't develop software (meaning time saving lines of code) for a region that is happy to evolve at a snails pace...
3). Deemed Value.

The cummulative value of Joomla if it were monetised would be around about the value of Dreamweaver, Zend and the like. Lakini, are we making use of that power, to mean, what this fine product has been written for with tonnes of addons je' beyond blog sites are we developing real CMS's for the ideas we have?

By mentioning joomla nilitaka kuonyesha diferent starageies developer can take and still be succesfull. But mentioning ideas ndio nimetaja pia hilo ni tatizo letu lingine Na hii ni kikwazo kulio hata Piracy.. Mtu anataka kudevelop Twitter ya tanzania huku kukiwa hakuna chochote cha tofauti zaidi ya lugha. Sasa akikosa wateja ututalaumu user au ushamba wa watanzania. Mtu huyu huyu badaa ya kushauri na kukconvice hiyo twitter yake itumike na Ikulu, wizara au Kiongozi fulani( Key stakeholder and PR) anakuja JF anataka mtazamaj. HT, Konti, paullss i aaanze kutumia twitter ya tanzania. Poor planning na strategy inailete product down .Mshasiwishi zitto kabwe, Dr Slaa , JK watu amabao wana follower tayari. so kihaka anahama na follower. Ndio maana nimetaja umuhimu wa STAKE HOLDERS. Sasa kama mtu kwake key stake holder wa product yake ni mtazamaji tu......


Na mtu ( Tunaojiita developer) anapevelop twitwer version ya Tanzania dhumuni lake kuu na tareget inauwa clicks na sio kusolve certain problem katika jamii ya Tanzania. Na Hili neno Ideas ni tatizo pia hata kabla hatujaenda kwenye piracy.

One argument on piracy that trully rubs me the wrong way is that we can't afford the service. Believe me, the human psyche thrives of rewards. You reward the self from an endevour that has cost you. You spend a resource (money/time), and from that expenditure, whatever was bought holds more meaning since, the self will want to derive as much benefit from the said thing as possible. You pick up a copy of whatever the item maybe, but there will be a disconnect from the need/desire and the want. You can accumulate hundreds of copies of say books, software that was not "bought" and that will simply gather dust, never to be fully used become there is no connection of the want/desire/need.

Lakini history ya promoting software piracy katika kiwango kikubwa inaonyehs hii tabia imeanzia scandnavia ( Sweeden). Download music, movies, games, software! The Pirate Bay - The world's most resilient BitTorrent site . By that time hata sasa nadhani scandnavia ni nchi amabazo watu wake maisha yao ni mazuri kuliko hata USA, UK and the like. So piracy ina mizizi na sabbau beyond affordability. Otherwise piracy ingekuwa promoted zaidi USA , Tanzania na sio sweeden

But again jamani developer wa Tanzania hlli tuliweke wazi. challenge na threat za software development Tanzania Piracy ni ya mwisho. Challenge na osbatle kuu ni sisi na communicatin kati yetu na key stakehoder.

But anyway tuombe HT afanikishe kazi yake na atatupa observation zake. Hope itakuwa sucessful na hatutasikia as a problem na atakuja kutupa sababu ya mafanikio yake
 
Tukubali tu kuwa the fear of potential piracy inamfanya mwenye nia ya ku'invest muda na pesa kudevelop software katika market ambayo imekubalika kuwa piracy is order of the day.
Katika kulinda intellectual property ya software kuna break even point ambayo developer atakuwa ameifanyia kazi kuwa, akiweza kuuza software say for 35% of target copies atakuwa ame'recover costs za kuitengeneza... atapigia hesabu ya loss of around 15-20% na hizo asilimia zingine zitakuwa kwenye kueneza soko na profit margins. Cha muhimu ni hiyo profit margin ambayo itamtoa na kuweza kuendeleza hiyo software na ideas zingine ambazo atakuwa nazo au ataweza kuzinunua hapo baadae. Kama hesabu zetu ni kuwa kama developer utaambulia patupu basi hizi ideas zinaishia kuwa ndoto to the developer and ndoto zaidi to the potential clients.

Kuongelea serikali na wizara naona tunadanganyana, unless kwa Bongo, due dilligence za software companies hazifanyiki. Mnunuzi (serikari/Wizara/Taasisi) watahitaji kuona kuwa huyu developer (company) ina uwezo wa kuwepo (time) kuisupport hiyo software yao na hapo inamaanisha a lone developer sijui atapata wapi hiyo credibility of time/money kuonyesha kuwa atakuwepo (in terms of experience ya staff wake) kuweza kuiendeleza na kui'support hiyo software in the many years to come.

Mfano: Ume'develop some accounting application. Cost/List price 50Mil. Ndio hiyo ni pesa nyingi lakini, if you have a number of employees/colleagues na other costs, that money can only last a few years/months before it runs out. The client atakuwa anategemea kuitumia software for say the next 10 years... Je utaweza? Ndio labda kutakuwa na annual support contract ambayo italipiwa lakini sidhani kama itakuwa at the same cost price ya mwanzoni hence longevity ya hiyo kampuni/developer itakuwa na ulakini.
Kwa hiyo tusi'under estimate umuhimu wa consumer mmoja mmoja katika marketing and development strategies kwani humo kama software itaweza kuwa protected ndipo kwenye pesa (longevity) ya idea.
yaani ningekuwa mwalimu....
 
mtazamaji, ngoja nijaribu kuweka uziyo ktk issue ya piracy. Suppose unaanzisha ka firm kako ka IT na una plan uatengeneze software fulani ambayo unajua soko lipo. Unaweka gharama zote sawa na unaona utapata faida. Katika research ya mwishomwisho unagundua kuwa ikiwa pirated na kusambazwa mtandaoni it is likely wale watakaonunua hawatatosha hata kurudisha mtaji acha faida. Utaendelea na project hiyo? Put yourself unto those shoes!
 
Kuwa bado tupo kwenye mfumo wa "Aid recipients" Namaanisha kuwa, bado hatujafikia kiwango cha kujituma kiasi hicho. Idea ikiwa imeiva, utasikia wanakwambia ngoja tutafute mfadhili, hao namaanisha wewe unaodhani kuwa wanaweza kusimamia hiyo project wenyewe bado wapo kwenye mindset ya kutafuta "misaada". Najua hapa kuna conflict of interests nyingi tu ambazo labda sio lazima ziwe ni issue ya project yenwewe lakini ni ishu ya ulaji.


Return on investment siku maanisha in monetary terms peke yake... Ni manufaa yote ambayo yanaweza kujitokeza kufuatia hiyo investment.

Question: What happens at the University level for those sitting Software development subjects.... Do they develop solutions as part of their thesis work... Can we hear more on this from anyone who knows please...



Mtazamaji, amini ndugu yangu uzito piracy plays in our region. Forget the generalities of what the experience in the west ilivyo.
Ideas huchipuka na kukuzwa katika mazingira ambayo ni naturing (intellectually). Sidhani kama maeneo yetu huku bongo yanaruhusu hiyo. That naturing allows for creativity to flourish na hapo ndipo utaona kuwa, certain sectors of industry congregate in one area kwani within that eco-system, ideas zinapata msukumo: Silicon Valley.

Sasa mazingira yetu siunajua, nina ka'idea kangu, lakini where/who do I bounce that idea with? Kama ninahitaji a developer with certain experience, who is the right candidate, Are they around, will they collaborate? Nikisema, respect of time, do people understand that? Projects fail since they overun the "time" within which that issue was relevant. Sasa kama huku kwetu respect of time ndio haipo kabisa, sijui project kwa kweli itafanyika vipi...


Nimekuelewa on "Twitter for Tanzania" Hapa ni copy/paste ambayo tumejifunza kama nchi kuwa ni ujasiliamari (sp).


I think we will agree to disagree wapi piracy stands in the hurdles list. Mimi bado nipo position 1 kwani, the fear of it peke yake will dissuade me from venturing into a full blown software endeavor in the region.

I wish HT all the best in his efforts and will volunteer to assist any testing aspect of the project (of course as an end user)...
 
mtazamaji, ngoja nijaribu kuweka uziyo ktk issue ya piracy. Suppose unaanzisha ka firm kako ka IT na una plan uatengeneze software fulani ambayo unajua soko lipo.
Lest assume hakuna piracy tanzania
Lets assume sofware unayotaka kutengeza ni HT office amabo ina feature nzuri zaidi ya MS office na OO

Unaweka gharama zote sawa na unaona utapata faida. Katika research ya mwishomwisho unagundua kuwa ikiwa pirated na kusambazwa mtandaoni it is likely wale watakaonunua hawatatosha hata kurudisha mtaji acha faida. Utaendelea na project hiyo? Put yourself unto those shoes!

Sasa tatizo linaanzia hapa ukisema unafanya reasearch ya mwisho hapo ina maana hukufanya Softwaere development yako vizuri. Kama ungefanya Planning yako vizuri hizi risks ungeziona mapema na wala usingesema soko lipo . Otheriwise kama ulizjua mapema basi ina maana kuna strategy tofauti utatumia kupinguza makali ya hizo risk na kuondoa hasara.

Mfano Movie nyingi kabla hazijatoka zinaonyeshwa kwenye theater . Then DVD version zinakuja baadae. Hiyo inapunguza kidogo makali na upotevu wa mapto trough piracy. Lakini movie ingekuwa inatoka na wakaiti huo huo kuna DVD ingekuwa hasara.

Sasa ukisema ikiwa pirated na kusambazwa mtandaoni
  • nani atatumia hiyo pirated version- Ni kina mtazamaji au ni NMB, IPP, Muhimbii Hospital na Wizara ya Elimu?
  • Wewe utakuw umeuza kwa nani ambao wameshidnwa meshindwa kurudisha cost mpaka kutegemea user mmoja mmmoja ndio wangekutoa.?
Hapo hapo hujasema kama hicho unachodevelop kabla ya piracy kuna competition na prduct nyingine. au nyingine tena ni free.. In reality katika real project hizi ndio challenge ndio maana ni muhimu kuwa na cusomer fulani watakaocover cost. na hao custoer sio mtazamaji, customer wa kukutoa Ni wizara zote, Mikoa yote, idara zote zote, IPP, Bhkatresa

Sasa kama unategenza software amabyo mfano itatuika na makampuni ya bjaresa, Na itatumiwa na wizara japo 1O na benki japo tatu. Na ofisi za Mikoa japo 6 na bado unakuwa hujapata faida. ukitegemea user mtazamaji, pauls then that project is not sustainable.

Najiweka kwenye shoes ya developer lakini naona kuna kitu tunakikwepa na kutupa lawama kwa jambo ambalo effect yake ni ndogo. What am teliling You Hata Tanzania inekuwa Piracy free country Nakuhaikishia Tittle e ya heading ingebadilika na kuwa ni Lini Tutaheshimu na kuonyesha uzaend kwenye ai zetu.

HT kama unaongeleaa software za Games au entertainmnet piracy itauwa issue Lakini kamani enterprise application Piracy is the Last RISK.
 
Ni sawa sawa sawa kuona Ms office inakuwa pirated kwa kiasi kikubwa Tanznaia .

Mtanzania mwneye ujuzi wa kutengeza Officie suite application aseme bila MS office kuwa pirated kiais kikubwa ningeweza kutengeza Office suite ya Kiswahili. So huyu ana assume kuwa wale wote wanapirate MS office wakizuiwa na kubannwa basi yeye anaweza kuuza yaka ya bei nafuu. This is not true

Wakati huo huo anasahu kuwa MS office mwenyewe ana mshindani wa Free lakini bado ana survive . How? Ni strategy ya kuwalenga KEY stakeholders ku cover gaharama

Au tunavyongolea Piracy tuna maana NMB, Wizara ya elimu , IPP etc zitafanya piracy ya product ya huyu mtanzania ?
 
Mtazamaji, naona unaimani sana na Wizara, Taasisi na makampuni ambayo yameweka "International" katika jina lao.
Fanya utafiti mdogo tu oune kuwa hawa wote wapo kibiashara zaidi, hawana mpango wa kutumia pesa walizonazo/walizopokea from their customers/clients kukupa wewe. Talking from experience here, Unasikia ST fulani, au International fulani, sasa, wapelekee idea yako ya solution unayoifanyia kazi, ndio wataipenda, wataomba demo nyingi tu, lakini anza kuongea pesa... International ina'charge fees ranging into Millions of shillings, wewe, service unayotaka kutoa will cover all of their operations at a misery sum of 1 Million, utasikia "mbona bei kubwa sana?" Haya ndio mazingira ya potential market... Hautaweza kunyanyasana nao ki'hivi kwani there is utterly no return on your investment (time/money).
Tengeneza solution kwa mlengwa mwenyewe, awe mwanafunzi, au mzazi... Hapo angalau unampata mwenye shida na hiyo service... maybe utatoka....
 
Mtazamaji, nikupe hints tu, kuna makampuni na sector nyingi tu zita ku suprise kwamba zinatumia pirated software!

BTW, nilikuwa naongelea retail ya mtu mmoja mmoja. Nikasema mwanzo kabisa, kuwa watu wanakimbilia entreprise apps kwa kuwa huko kuna 'safety'. Tukiacha piracy tutawafanya hawa watu watengeneze software si kwa makampuni tu bali hata mtu mmoja mmoja kitu ambacho kitatufany tusitegemee software za ulaya sana na kuwa na software zetu ambazo zitakuwa kwa bei nafuu!
All in all sisemi kwamba hilo ni tatizo pekee, kama Kont' alivyoainisha ila ni tatizo kubwa kwa kuwa linawakatisha dev tamaa hata kabla hawajaanza kui develop!
 
Back
Top Bottom