Sumbalawinyo
JF-Expert Member
- Sep 22, 2009
- 1,282
- 247
Tunawaenzi vipi wasasnii wetu?
wapo wengi wa ngoma na maigizo, miziki ya dansi na michezo.
je tunawaenzi vipi, wao na mchango wao kwa jamii?
Morris Nyunyusa, ni nani anamkumbuka?
Wachezi ndio tunao wengi lakini hamna anaewakumbuka,
hawamo hata kwenye benchi la ufundi la Taifa Stars.
Roger Milla mchezaji wa zamani wa Cameroon
wapo wengi wa ngoma na maigizo, miziki ya dansi na michezo.
je tunawaenzi vipi, wao na mchango wao kwa jamii?
Morris Nyunyusa, ni nani anamkumbuka?
Wachezi ndio tunao wengi lakini hamna anaewakumbuka,
hawamo hata kwenye benchi la ufundi la Taifa Stars.